Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

Ligi ya Muungano limerejea sasa litaanza kutimua vumbi 23/4/2024
Kwa Tanzania bara zitashiriki team mbili ambazo ni Simba na Azam pia upande wa Tanzania visiwani zimetoka KMKM naKVZ.
Yanga hatashiriki mashindano haya kwa kuwa hakualikwa
 
Sikio la kufa halisikii dawa, makolo hawatoki, Azam watabeba kombe la Muungano niko paleeee!
 
Ligi ya Muungano limerejea sasa litaanza kutimua vumbi 23/4/2024
Kwa Tanzania bara zitashiriki team mbili ambazo ni Simba na Azam pia upande wa Tanzania visiwani zimetoka KMKM naKVZ.

Yanga hatashiriki mashindano haya kwa kuwa hakualikwa labda angealikwa angebeba kombe lenyewe na mtani msimu huu akatoka kapa.

Simba pambaneni mmetengezewa mashindano mengine japo mbebe kombe la Muungano mkipigwa tutawapa pole tena.
Haya mashindano zamani yalikua na maana kwakua yalikua yanatumika kutafuta wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya CAF wakati Zanzibar haijapata uanachama wa CAF kama nimekosea watanisahihisha wajuvi wa mambo ya soka. Currently hayana maana tena kwasababu ni sawa na kombe la mapinduzi, yamekaa kisiasa, kihistoria na kiutamaduni zaidi katika kudumisha Muungano ndo maana hata ushiriki na ufanyikaji wake ni wa zimamoto. Nashauri yaunganishwe na kombe la mapinduzi ili iwe kama CARABAO/ EFL Cup kule England
 
Zile zimechaguliwa mfano yanga angekuwepo zingekua timu tano zingechezaje
Hilo ni suala la waandaaji, maybe hata Zanzibar zingetoka timu tatu. Mbona unabishana na waandaaji? Wao wanasema Yanga imekataa

1713764079241.png
 
Kwa hio sisi Simba ndio wakucheza michuano ya kuteuliwa?
Hata African Football League ni michuano ya kuteuliwa, lakini ndio michuano yenye pesa nyingi kwa washiriki kuliko michuano yote ya ngazi ya vilabu barani Afrika. Mpira ni biashara pia
 
Hata African Football League ni michuano ya kuteuliwa, lakini ndio michuano yenye pesa nyingi kwa washiriki kuliko michuano yote ya ngazi ya vilabu barani Afrika. Mpira ni biashara pia
akili za kimalaya ukiona hela tu unajipeleka sasa hivi tuna viporo kadhaa bado tunaongeza mashindano wakati huo wachezaji wanacheza kama hawataki ilimradi ligi iishe afadhari tungepambania nafasi ya pili kwa huu ujinga hata ya pili hatumo
 
akili za kimalaya ukiona hela tu unajipeleka sasa hivi tuna viporo kadhaa bado tunaongeza mashindano wakati huo wachezaji wanacheza kama hawataki ilimradi ligi iishe afadhari tungepambania nafasi ya pili kwa huu ujinga hata ya pili hatumo
Huwa sioni haja ya mtu kutoa maneno machafu wakati wa mijadala ya kawaida kabisa.
Mpira ni pesa, wote unaosema wanachoka wanahitaji pesa. Nafasi ya pili haina maana kama haina pesa. Kumbuka mshiriki wa AFL alipata 5B+ kabla hajafanya chochote
 
Zile zimechaguliwa mfano yanga angekuwepo zingekua timu tano zingechezaje
Wewe ni mbishi na unataka kujifanya ni mjuaji wakati hujui. Nilikwambia tokea juu kuwa Yanga walialikwa ila wakayakataa haya mashindano ukasema ni uongo. Badae ukaomba source mdau kakupa bado unakuja na hoja mpya ya mashindano.
Hakuna shaka, Simba na Yanga ni taswira la soka la Tanzania na kila shindano linaloandaliwa huwa linalenga zaidi uwepo wa timu ambayo ni Simba na Yanga kwasababu ya kibiashara na kisiasa.

Hivyo waliotanguliwa kupewa mualiko ili washiriki haya mashindano ni Simba na Yanga kwasababu ndio timu kubwa na kongwe. Kwenye huo mwaliko Yanga alikataa ila Simba ndiye akakubali. Baada ya kukataa Yanga ndipo wakawapa mwaliko Azam na Azam wamekubali. Baada ya kukubali Azam na Simba wakaziteua timu za Zanzibar mbili ili kufanya timu ziwe nne.
 
Wewe ni mbishi na unataka kujifanya ni mjuaji wakati hujui. Nilikwambia tokea juu kuwa Yanga walialikwa ila wakayakataa haya mashindano ukasema ni uongo. Badae ukaomba source mdau kakupa bado unakuja na hoja mpya ya mashindano.
Hakuna shaka, Simba na Yanga ni taswira la soka la Tanzania na kila shindano linaloandaliwa huwa linalenga zaidi uwepo wa timu ambayo ni Simba na Yanga kwasababu ya kibiashara na kisiasa.

Hivyo waliotanguliwa kupewa mualiko ili washiriki haya mashindano ni Simba na Yanga kwasababu ndio timu kubwa na kongwe. Kwenye huo mwaliko Yanga alikataa ila Simba ndiye akakubali. Baada ya kukataa Yanga ndipo wakawapa mwaliko Azam na Azam wamekubali. Baada ya kukubali Azam na Simba wakaziteua timu za Zanzibar mbili ili kufanya timu ziwe nne.
Umekuja tena na story badala evidence
 
Umekuja tena na story badala evidence
Post namba 24 lupweko hajakupa source? Au unapenda majibu ya kujirudia rudia?
Nilichokujibu ni hoja yako ya pili ulilohoji kuwa Yanga angeshiriki timu zingekuwa tano.
 
Nashukuru sna viongozi kwa kuruka hiki kiuzi na kombe la lipumbafu
 
Back
Top Bottom