Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

Ligi ya Muungano kuanza kutimua vumbi Aprili 23, 2024

Wewe ni mbishi na unataka kujifanya ni mjuaji wakati hujui. Nilikwambia tokea juu kuwa Yanga walialikwa ila wakayakataa haya mashindano ukasema ni uongo. Badae ukaomba source mdau kakupa bado unakuja na hoja mpya ya mashindano.
Hakuna shaka, Simba na Yanga ni taswira la soka la Tanzania na kila shindano linaloandaliwa huwa linalenga zaidi uwepo wa timu ambayo ni Simba na Yanga kwasababu ya kibiashara na kisiasa.

Hivyo waliotanguliwa kupewa mualiko ili washiriki haya mashindano ni Simba na Yanga kwasababu ndio timu kubwa na kongwe. Kwenye huo mwaliko Yanga alikataa ila Simba ndiye akakubali. Baada ya kukataa Yanga ndipo wakawapa mwaliko Azam na Azam wamekubali. Baada ya kukubali Azam na Simba wakaziteua timu za Zanzibar mbili ili kufanya timu ziwe nne.
Nakushangaa kama hauoni umhimu wa nafasi ya pili, wakati bila hio hatuendi CL una uhakika AFL mwaka huu itakuwepo mashindano hayana hata calendar wala vigezo what if CAF wakibadili mfumo tutaenda wapi?
 
Hapo ndio utaona viongozi wa Simba ni maboya timu inashiriki mabonanza Kama timu za ndondo.
 
Nakushangaa kama hauoni umhimu wa nafasi ya pili, wakati bila hio hatuendi CL una uhakika AFL mwaka huu itakuwepo mashindano hayana hata calendar wala vigezo what if CAF wakibadili mfumo tutaenda wapi?
Ume mquote sio sahihi, angalia vizuri
 
Game zinachezewa upande wa pili wa muungano au? Ila sidhani kama kuna timu itapeleka wachezaji wake muhimu,
 
Hii timu inanikera sana
IMG_20240422_234003.jpg
 
Hii kuendelea kuwa na Viporo kwenye ligi kutaigharimu sana Timu!!
 
Warudishe rasmi ligi ya muungano mshindi awe muwakilishi wa nchi. Hizi nyingine ni janja janja za kupiga pesa tu. Na mtaji ni simba na yanga!
 
Back
Top Bottom