Nina mashaka na timu unayoishabikiaHakuna ligi ambayo hainivutii kama La Liga, ligi gana timu zinafungana kilofa vile, mara utasikia madrid kashinda 8, mara Barca kashinda 6-0.
Nitaendelea kuipenda ligi ya Epl daima, Atleast hata Bundes liga mzuri kuliko hiyo ligi wa kikuda.
Hv mkuu mbona unaongea mifano ya ajabu Kwa hyo kigezo cha ligi ngumu Madrid au Barcelona afungwe nyingiMkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!
EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!
Niambie idadi ya timu kutoka spain zilizo katika robo fainal europa na UCL halafu vile vile niambie timu za uingereza zilizopo huko....ukipata jibu tulia nalo maana utakuwa umeshajua kipi ni kipi...pinga ukiwa na datanaweza kukubaliana nawewe kwa hilo lakini ukiangalia ligi ya spain wanaofanya vizuri ni timu mbili tu kwa mtazamo wangu hii haifanyi kuwa ligi yenye ushindani,ushindani huatikana kwa matokeo kuto tabirika
Katika darasa lenye wanafunzi vilaza wote lazima ushindani uwe kama unavyosema wewe maana hakuna extra ordinary...Kiushindani hakuna kama epl ndo maana unakuta mpaka dakika ya mwisho ndo bingwa anapatikana na hata ukiangalia gaps kati ya timu na timu si kubwa.....yani epl hata kushuka daraja kuna upinzani ukizubaa kidogo ushapigwa gap umeshuka wewe daraja.....
Ubora kwa spain hakika wana timu bora ukizilinganisha na za uingereza kwa sasa....thn bundesliga inaweza kufatia.....angalia tu hata game ilopita europa totenham vs borussia both re 2nd in their league lkn hali ilikua mbaya kwa tot....
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindaniNiambie idadi ya timu kutoka spain zilizo katika robo fainal europa na UCL halafu vile vile niambie timu za uingereza zilizopo huko....ukipata jibu tulia nalo maana utakuwa umeshajua kipi ni kipi...pinga ukiwa na data
Hebu nipe takwimu kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita...ligi ya spain bingwa alipatikana zikiwa zimebaki mechi ngap ukilinganisha na uingerezakama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
Ikiwa imebaki mechi mojaHebu nipe takwimu kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita...ligi ya spain bingwa alipatikana zikiwa zimebaki mechi ngap ukilinganisha na uingereza
Nikikuuliza mengi utashindwa kunijibu ILS nikuulize hili kuwa Ni mwaka upi Bingwa Spain alipatikana bado mechi 8 ??kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
wapenzi wa soka la nje,nchi gani kati ya hizi unadhani ina ligi yenye ushidani zaidi?
italia
uingereza
ujerumani
ufaransa
uhispania
uholanzi
Walio juu yangu wamechangia vzur na hawajabishiwa KIDUNIA LIGI BORA na NGUMU DUNIANI NI LA LIGA BBVA.
La liga ubora wake unajidhihirisha hata katika UCL NA Europa league
ligi bora na ngumu kivipi ili hali only madrid & barca wanawafunga wenzao mara goli 10, 7,6,5,4! ugumu upo wapi hapo??
EPL mara ya mwisho kusikia mtu kafungwa 10 ilikuwa lini??
Unaelewa maana ya neno ushindani? Unaelewa ili ushindani uwepo vitu gani vinatakiwa?
Ili kuwe na ushindani ni lazima mlingane, either wote mjue au wote msijue. Ikitokea mmoja anajua mwingine hajui hakuwezi kuwa na ushindani.
Nakubali EPL ina ushindani na ushindani huo unatokana na kuwa timu zote zimelingana viwango. Viwango ni vidogo au vikubwa jibu tunalipata kwenye Champions League.
Arsenal mnayodai inatoka kwenye ligi ngumu/yenye ushindani akikutana na Barcelona mnaodai wanatoka kwenye ligi nyepesi matokeo yanajulikana hata kabla ya mechi.
Spain, German, na France timu inayojua inajua na asiyejua hajui. Haiwezekani bingwa mtetezi akutane na timu inayoshika mkia afungwe au watoke suluhu useme ni ushindani. Huo ni ujinga.
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
Mkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!
EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!
Mkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!
EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!
Je timu za Epl Na La liga zip znafany vzr ktk mashndano makubwa km vile uefa na europa...ligi bora na ngumu kivipi ili hali only madrid & barca wanawafunga wenzao mara goli 10, 7,6,5,4! ugumu upo wapi hapo??
EPL mara ya mwisho kusikia mtu kafungwa 10 ilikuwa lini??