Ligi ya nchi gani ndio bora sana duniani?

Ligi ya nchi gani ndio bora sana duniani?

Hakuna ligi ambayo hainivutii kama La Liga, ligi gana timu zinafungana kilofa vile, mara utasikia madrid kashinda 8, mara Barca kashinda 6-0.
Nitaendelea kuipenda ligi ya Epl daima, Atleast hata Bundes liga mzuri kuliko hiyo ligi wa kikuda.
Nina mashaka na timu unayoishabikia
 
Mkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!

EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!
Hv mkuu mbona unaongea mifano ya ajabu Kwa hyo kigezo cha ligi ngumu Madrid au Barcelona afungwe nyingi
 
naweza kukubaliana nawewe kwa hilo lakini ukiangalia ligi ya spain wanaofanya vizuri ni timu mbili tu kwa mtazamo wangu hii haifanyi kuwa ligi yenye ushindani,ushindani huatikana kwa matokeo kuto tabirika
Niambie idadi ya timu kutoka spain zilizo katika robo fainal europa na UCL halafu vile vile niambie timu za uingereza zilizopo huko....ukipata jibu tulia nalo maana utakuwa umeshajua kipi ni kipi...pinga ukiwa na data
 
Kiushindani hakuna kama epl ndo maana unakuta mpaka dakika ya mwisho ndo bingwa anapatikana na hata ukiangalia gaps kati ya timu na timu si kubwa.....yani epl hata kushuka daraja kuna upinzani ukizubaa kidogo ushapigwa gap umeshuka wewe daraja.....
Ubora kwa spain hakika wana timu bora ukizilinganisha na za uingereza kwa sasa....thn bundesliga inaweza kufatia.....angalia tu hata game ilopita europa totenham vs borussia both re 2nd in their league lkn hali ilikua mbaya kwa tot....
Katika darasa lenye wanafunzi vilaza wote lazima ushindani uwe kama unavyosema wewe maana hakuna extra ordinary...
 
Niambie idadi ya timu kutoka spain zilizo katika robo fainal europa na UCL halafu vile vile niambie timu za uingereza zilizopo huko....ukipata jibu tulia nalo maana utakuwa umeshajua kipi ni kipi...pinga ukiwa na data
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
 
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
Hebu nipe takwimu kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita...ligi ya spain bingwa alipatikana zikiwa zimebaki mechi ngap ukilinganisha na uingereza
 
Atletico, barcelona na real madrid zikitupwa EPL bado itabaki kuwa ligi ya timu 2 au 3. 😀😀😀😀
 
Hebu nipe takwimu kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita...ligi ya spain bingwa alipatikana zikiwa zimebaki mechi ngap ukilinganisha na uingereza
Ikiwa imebaki mechi moja
 
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani
Nikikuuliza mengi utashindwa kunijibu ILS nikuulize hili kuwa Ni mwaka upi Bingwa Spain alipatikana bado mechi 8 ??
SITAK NGONJERA WEKA JIBU
 
ligi bora na ngumu kivipi ili hali only madrid & barca wanawafunga wenzao mara goli 10, 7,6,5,4! ugumu upo wapi hapo??

EPL mara ya mwisho kusikia mtu kafungwa 10 ilikuwa lini??

Acha ushabiki wa kitoto wewe! Ligi za Spain wanatumia bongo uwanjani na si nguvu ka epl we vipi...next?
 
Unaelewa maana ya neno ushindani? Unaelewa ili ushindani uwepo vitu gani vinatakiwa?

Ili kuwe na ushindani ni lazima mlingane, either wote mjue au wote msijue. Ikitokea mmoja anajua mwingine hajui hakuwezi kuwa na ushindani.

Nakubali EPL ina ushindani na ushindani huo unatokana na kuwa timu zote zimelingana viwango. Viwango ni vidogo au vikubwa jibu tunalipata kwenye Champions League.

Arsenal mnayodai inatoka kwenye ligi ngumu/yenye ushindani akikutana na Barcelona mnaodai wanatoka kwenye ligi nyepesi matokeo yanajulikana hata kabla ya mechi.

Spain, German, na France timu inayojua inajua na asiyejua hajui. Haiwezekani bingwa mtetezi akutane na timu inayoshika mkia afungwe au watoke suluhu useme ni ushindani. Huo ni ujinga.

Umenena bro
 
kama nilivyosema awali,sipingani sana na kauli yako,lakini spain bingwa anapatikana wakati bado kuna mechi nane au zaidi,na wakati huohuo timu mbili za kwanza zinawaacha wengine nyuma kwa zaidi ya pointi kumi,ndio maana nikasema kuwa ligi ya spain pamoja na ubora wake lakini haina ushindani

Haina ushindani kwako wewe na si kwa mashabiki duniani kote....next?
 
Mkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!

EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!

Hivi wewe kwa akili yako tu uliyozaliwa nayo unadhani timu gani duniani ya kuifunga baca? Yaani Natamani sana baca mletewe epl muda wa mwaka mmoja tu,kila timu ingepata kichapo co chini ya 20 goals...chezea baca wewe
 
Mkuu mkolaj, inashangaza sana hii ligi inayoitwa bora na ngumu-sijawahi ona barca/madrid anafungwa angalau 5 na timu yoyote za chini kinyume chake barca/madrid ndio kila siku wanapiga wenzao vpigo vinene vinene!

EPL juzi kati livapool amekula 6 kutoka stoke, aseno amekula 4 bila kutoka kwa soton!

Unaakili kweli kijana! Tatizo lenu mnalazimisha timu kama bace ifungwe goli nyingi kitu ambacho never na haitotokea....huko kwenu kawaida tu kufungwa timu kubwa coz hawatumii common sense wanapokua uwanjani,
 
ligi bora na ngumu kivipi ili hali only madrid & barca wanawafunga wenzao mara goli 10, 7,6,5,4! ugumu upo wapi hapo??

EPL mara ya mwisho kusikia mtu kafungwa 10 ilikuwa lini??
Je timu za Epl Na La liga zip znafany vzr ktk mashndano makubwa km vile uefa na europa...

Sevilla, Valencia, athletic Bilbao, Villarreal ndo wababe wa europa Na hao Barca Na Madrid uefa ndo yao Je Epl timu zake znaubora gan!!!?

NB: totehnan Na ubora wake wa EPL msim huu kafanywa nn Na Dortmund je EPL nan anaweza kumpga toth nje ndan!? Jibu linabak Epl kelel za media n nying kuliko soka
 
Back
Top Bottom