Ligi ya Saudia sasa kurushwa ndani ya Azam TV

Ligi ya Saudia sasa kurushwa ndani ya Azam TV

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi hiyo mubashara.

Mwanasoka utaendelea kuwafatilia wachezaji wako pendwa waliopo Uarabuni kupita Azam TV.
Msimu wa ligi hiyo unatarajiwa kuanza kesho Ijumaa kwa mchezo mmoja.

Hakika hii ni kubwa sana, kongole kwa Azam TV.

479AB7D8-7B4F-4036-AC39-E00B4687174E.jpeg
 
Kufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi hiyo mubashara.

Mwanasoka utaendelea kuwafatilia wachezaji wako pendwa waliopo Uarabuni kupita Azam TV.

Hakika hii ni kubwa sana, kongole kwa Azam TV.

View attachment 2713655
Channel gani wataonesha?
 
Kufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi hiyo mubashara.

Mwanasoka utaendelea kuwafatilia wachezaji wako pendwa waliopo Uarabuni kupita Azam TV.

Hakika hii ni kubwa sana, kongole kwa Azam TV.

View attachment 2713655
Andika vitu vieleweke sasa

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom