Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Wame tu tease sio ? Safi sanaUtajuzwa mambo yatakapokuwa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wame tu tease sio ? Safi sanaUtajuzwa mambo yatakapokuwa sawa
Ile ya dini ili mpoozwe na matangazo mujaraaaabuZbc au zbc 2?
subiri kidogo tu maana hivi sasa wanafunga vifaa vya kisasa,utaona mabadililko makubwa sanaTatizo la AZAM TV Ni kutokuwa HD na wala sio kuongeza idadi ya kuonyesha league mbalimbali.
Wajitahidi channel nyingi ziwe HD kama DSTV.
Hawa jamaa wanakwenda na mademu wao, siyo lazima wawe wake wa ndoa, wakiwa wanavaa kaptula na jeans bila vilemba. Sijui itakuwaje kwa sheria za kiislamu; au ndiyo mwanzo wa mapinduzi ya MBSKufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi hiyo mubashara.
Mwanasoka utaendelea kuwafatilia wachezaji wako pendwa waliopo Uarabuni kupita Azam TV.
Msimu wa ligi hiyo unatarajiwa kuanza kesho Ijumaa kwa mchezo mmoja.
Hakika hii ni kubwa sana, kongole kwa Azam TV.
View attachment 2713655
DP worldMzoeshwe zoeshwe kuziona kanzu mara kwa mara labda zitawavutia
Azam yenyewe ni ya Waarabu nashangaa miaka yote walikuwa hawarushi😁😁😁.
Ni vile wateja wao wanaongea kiswahili ila...
Na sikuwahi ona kisimbuzi cha vyoho kama hiki.
Nateseka nikiwa unamtombwakibaoniunateseka ukiwa wapi?
Hongera yaoKufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi hiyo mubashara.
Mwanasoka utaendelea kuwafatilia wachezaji wako pendwa waliopo Uarabuni kupita Azam TV.
Msimu wa ligi hiyo unatarajiwa kuanza kesho Ijumaa kwa mchezo mmoja.
Hakika hii ni kubwa sana, kongole kwa Azam TV.
View attachment 2713655
Live bila chengaHatari penaldo et all live