Ligi ya Uingereza ina tofauti gani na Ligi zingine duniani?

maufoungph

Member
Joined
Oct 16, 2018
Posts
73
Reaction score
164
Kwanini Ligi ya uingireza inapendwa/inamashabiki wengi na ipo kibiashara zaidi kuliko Ligi zote duniani wakati zipo Ligi zenye wachezaji wenye ubora na viwango vikubwa kuliko wa uingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TOA MFANO HAPA

zipo Ligi zenye wachezaji wenye ubora na viwango vikubwa kuliko wa uingereza?



"Not everything is for everybody"
 
TOA MFANO HAPA

zipo Ligi zenye wachezaji wenye ubora na viwango vikubwa kuliko wa uingereza?



"Not everything is for everybody"

unawezaje fanananisha vipaji vya La Liga au serie A na PL? au unaziona top teams za Germany na France ?
 
Kwanini Ligi ya uingireza inapendwa/inamashabiki wengi na ipo kibiashara zaidi kuliko Ligi zote duniani wakati zipo Ligi zenye wachezaji wenye ubora na viwango vikubwa kuliko wa uingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app

Waingereza wamefanikiwa kuitangaza ligi yao kama walivyoweza kulitangaza taifa lao kisiasa.
 
unawezaje fanananisha vipaji vya La Liga au serie A na PL? au unaziona top teams za Germany na France ?
Waingereza wamefanikiwa kuitangaza ligi yao kama walivyoweza kulitangaza taifa lao kisiasa.
unajua hii hoja ligi ya Uingereza kubebwa zaidi na umaarufu pamoja na mikataba minono nimeshazisikia kwa takribani miaka 18 tokea nianze kufuatilia soka la ulaya.

messi, ronaldo, deco, gaucho, raul, hierro, makelele, figo,iniesta, xavi, zidane, batistuta, sedoff, edgar davids, nedved, veron, maradona, sneijder, beckham, michael owen, del piero, etoo, de lima n.k

hawa wote kwa nyakati tofauti wamecheza la liga na serie A lakini bado ligi ya uingereza imeendelewa kuwa na ushawishi licha ya kupita kwa nyota wachache sana (ronaldo pekee ndiye mshindi wa ballon)

mkuu kwa uzoefu wako unadhani kwa nini mataifa mengine yanashindwa kufuata mkondo huo?
 

Mkuu Waingereza wameitawala dunia kwa mda mrefu sana, na wamekuwa na ushawishi mkubwa kwenye ulimwengu kwenye kila Nyanja wakishirikiana na USA. Tizama sakata la Blatter tu pale fifa baada ya kuwakosesha kuandaa world cup Waingereza na wamarekani ndio ukawa mwisho wake.
Kwanza moja ya nguza zao kuu ni media. wao ndio wanamiliki media zenye nguvu Zaidi duniani, na ndio mana waweza kuta mchezaji wa mid table team England mwenye uwezo wa kawaida tu akawa mashuhuri kuliko mchezaji wa timu kubwa tena mwenye uwezo mkubwa wa ligi nyengine. vyombo vikubwa vingi vya michezo vinaendeshwa na waiingereza au mifumo ya kiigereza.
ESPN
Being Sport
Abudhabi Sport
Star Sports na ESPN India
Super Sports
Tukiachilia baba Lao Sky Sports
na nyingi nyenginezo

Hapo ukiingia kwenye magazeti ndio hivohivo, ukiingia kwenye tovuti za Sports nako ndio hivohivo
Sasa kwa hali iyo ulitegemea lipi jengine mkuu?
 
Ndio kama..naomba unimalizie nielewe zaid.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuelewa hili swali km linanihusu mimi, sina chochte nachokijua ndio maana nli-share swali hili ili niweze kuelewa na nlijua tu km yatatokea maswali mengne ndani ya swali hili naamin ntakuja elewa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefnya utafiti nini kimekufnya mpk ukajibu ivi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tanzania, Kenya, Uganda, South Africa, Nigeria, Cameroon, Ghana, Botswana, Malawi, Namibia, Rwanda, Zambia, hebu nambie mkuu hapo nchi nyengine zote ata zisitizame PL, kwa kupitia nchi hizo tu kuwa PL ndio first choice kuna ligi itakayoizidi umashuhuri PL Africa?
India, Pakistan, Sri lanka,Bangladesh, Nepal, Singapoor, Malysia, Maldves kuna ligi gani nyengine itakayoweza kupata umashuhuri Zaidi South Asia?
U.S.A na Canada, Australia pamoja na visiwa vyote vilivyoizunguka ikiwemo New Zeland
Bara la waarabu Nchi zote za GUlf kuanzia Oman, Saudi, UAE, Qatar, Bahrain, Kuwait sasa kuna ligi gani itakayoizidi umaarufu PL ndani ya Bara la waarabu?

Sasa mkuu kumebaki wapi? nguzo kuu ya PL ni kuweza kujijenga nje ya bara la Ulaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…