Ligi ya Uingereza ina tofauti gani na Ligi zingine duniani?

Ligi ya Uingereza ina tofauti gani na Ligi zingine duniani?

niliwahi kumuona nyakati zake za mwishoni mwa uhai wake......mzee ameacha taathira kubwa sana ya uanaharakati wa haki na usawa kwa tabaka zote

Sivibaya mkuu ukiweza kunipa mawili matatu kuhusu yeye, ikiwezekana kwenye uzimwengine ili tusiharibu mada ya wahusika.
 
unajua hii hoja ligi ya Uingereza kubebwa zaidi na umaarufu pamoja na mikataba minono nimeshazisikia kwa takribani miaka 18 tokea nianze kufuatilia soka la ulaya.

messi, ronaldo, deco, gaucho, raul, hierro, makelele, figo,iniesta, xavi, zidane, batistuta, sedoff, edgar davids, nedved, veron, maradona, sneijder, beckham, michael owen, del piero, etoo, de lima n.k

hawa wote kwa nyakati tofauti wamecheza la liga na serie A lakini bado ligi ya uingereza imeendelewa kuwa na ushawishi licha ya kupita kwa nyota wachache sana (ronaldo pekee ndiye mshindi wa ballon)

mkuu kwa uzoefu wako unadhani kwa nini mataifa mengine yanashindwa kufuata mkondo huo?
View attachment 1433620
Duuu hiyo picha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unajua hii hoja ligi ya Uingereza kubebwa zaidi na umaarufu pamoja na mikataba minono nimeshazisikia kwa takribani miaka 18 tokea nianze kufuatilia soka la ulaya.

messi, ronaldo, deco, gaucho, raul, hierro, makelele, figo,iniesta, xavi, zidane, batistuta, sedoff, edgar davids, nedved, veron, maradona, sneijder, beckham, michael owen, del piero, etoo, de lima n.k

hawa wote kwa nyakati tofauti wamecheza la liga na serie A lakini bado ligi ya uingereza imeendelewa kuwa na ushawishi licha ya kupita kwa nyota wachache sana (ronaldo pekee ndiye mshindi wa ballon)

mkuu kwa uzoefu wako unadhani kwa nini mataifa mengine yanashindwa kufuata mkondo huo?
View attachment 1433620
Sababu zangu.
1. Ukoloni nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wa Uingereza zimekuwa assimilated kwa kiwango kikubwa sana na utamaduni Uingereza hivyo kitu cha kwanza huwa zinaitazama Uingereza kama first option kabla ya kuangalia sehemu nyingine.

2. Uingereza imefanikiwa kuiturn ligi yao kuwa sehemu ya mfumo rasmi wa maisha ya watu na kuwafanya watu waone radha halisi ya football akiangalia mechi za uingereza.
a football contest
b Business contest

3. Media zimefanya kazi kubwa sana kuibrand ligi ya uingereza na hivyo kuifanya iwe popular sana kwa kila mtu.

4. Technical quality ya timu moja moja katika EPL ni ya hali ya juu sana kuanzia kwenye ligi za chini mpaka huko juu ndiyo maana ukiangalia Ligi ya Uingereza unapata vitu vyote unavyovitaka kwenye mpira.

5. Uwekezaji katika vilabu vingi ni mkubwa kuliko ligi zingine ndiyo maana hata vilabu vya ligi zingine zinaitazama EPL kama soko la talents wanazozalisha huko upenuni.

6. Ukiondoa ligi ya Ufaransa ligi zingine zimejengwa katika mifumo ya kisiasa zaidi kuliko football na business hivyo Uingereza ni best destination ya investments katika football kuliko other leagues.

7. Tusisahau pia kuwa Uingereza ndiyo nchi ya kwanza kufanya initiative za kutengeneza rules of the game.

Haya ni maoni ya shabiki kindakindaki wa EPL na Manchester United.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
✓Liverpool
✓Man City
✓Chelsea
✓Man United
✓Everton
✓Arsenal

Na sasa Newcastle

Wote hapo juu wanauwezo wa kusajili mchezaji kwa £50m and above..Kwenye ligi nyingine unakuta ni klabu chache tu zente uwezo huo..

Walichofanya waingereza ni kubrand ligi yao na kuwa maarafu na kutengeneza hela..na wametumia hela hizo kuendelea kubaki juu..Angalia hata sasa makocha bora wote wapo England

Pia Uingereza ni taifa lenye nguvu kisiasa n.k..so maybe wametumia pia hiyo chansi kuinfluence baadhi ya mambo in their own interest
 
Sababu zangu.
1. Ukoloni nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wa Uingereza zimekuwa assimilated kwa kiwango kikubwa sana na utamaduni Uingereza hivyo kitu cha kwanza huwa zinaitazama Uingereza kama first option kabla ya kuangalia sehemu nyingine.

2. Uingereza imefanikiwa kuiturn ligi yao kuwa sehemu ya mfumo rasmi wa maisha ya watu na kuwafanya watu waone radha halisi ya football akiangalia mechi za uingereza.
a football contest
b Business contest

3. Media zimefanya kazi kubwa sana kuibrand ligi ya uingereza na hivyo kuifanya iwe popular sana kwa kila mtu.

4. Technical quality ya timu moja moja katika EPL ni ya hali ya juu sana kuanzia kwenye ligi za chini mpaka huko juu ndiyo maana ukiangalia Ligi ya Uingereza unapata vitu vyote unavyovitaka kwenye mpira.

5. Uwekezaji katika vilabu vingi ni mkubwa kuliko ligi zingine ndiyo maana hata vilabu vya ligi zingine zinaitazama EPL kama soko la talents wanazozalisha huko upenuni.

6. Ukiondoa ligi ya Ufaransa ligi zingine zimejengwa katika mifumo ya kisiasa zaidi kuliko football na business hivyo Uingereza ni best destination ya investments katika football kuliko other leagues.

7. Tusisahau pia kuwa Uingereza ndiyo nchi ya kwanza kufanya initiative za kutengeneza rules of the game.

Haya ni maoni ya shabiki kindakindaki wa EPL na Manchester United.





Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
✓Liverpool
✓Man City
✓Chelsea
✓Man United
✓Everton
✓Arsenal

Na sasa Newcastle

Wote hapo juu wanauwezo wa kusajili mchezaji kwa £50m and above..Kwenye ligi nyingine unakuta ni klabu chache tu zente uwezo huo..

Walichofanya waingereza ni kubrand ligi yao na kuwa maarafu na kutengeneza hela..na wametumia hela hizo kuendelea kubaki juu..Angalia hata sasa makocha bora wote wapo England

Pia Uingereza ni taifa lenye nguvu kisiasa n.k..so maybe wametumia pia hiyo chansi kuinfluence baadhi ya mambo in their own interest
Kwani Ligi zingene wanakwama wapi ku-brand ligi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani maana ya kufungika ni nini?



"Not everything is for everybody"

sasa mnaposema ligi ya England timu kubwa zinafungika je ligi nyengine timu kubwa hazifungiki?

Hebu tizama misimamo ya ligi zote kubwa za ulaya utizame timu gani kati ya zinazoongoza ligi imefungwa mechi kodogo
 
sasa mnaposema ligi ya England timu kubwa zinafungika je ligi nyengine timu kubwa hazifungiki?

Hebu tizama misimamo ya ligi zote kubwa za ulaya utizame timu gani kati ya zinazoongoza ligi imefungwa mechi kodogo
Ligi nyingine timu kubwa zinaenda na uhakika wa kuchukua point 3 kama ilivyo kwa Simba, Yanga hapa bongo.

Inamaana ikitokea kapoteza inakua mada.


PL haipo hivo. Yaani Ligi haitabiriki, unakumbuka msimu Leicester anabeba ndoo?



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom