Ligi ya Uingereza kuanza kuunga mkono Ushoga tarehe 30 Novemba

Jana wakati naangalia mechi pendwa ya Liverpool timu tishio kwa wakati huu nilibahatika kumuona manahonda wakiwa wamevaa vitambaa venye rangi ya bendera ya mapenzi ya jinsia moja kwakua mimi sio mpenzi sana wakuangalia mpira kabla ujaanza mimi naweka channel ya mpira dakika tatu au tano mpira umeshaanza, kumbe mpira kabla ujaanza walipeperusha bendera kabisa ya mapenzi ya jinsia moja, kwanza naanza kuamini dalili za kihama ndo hizoo.

 
Hayo ndo manchi yaliyoendelea!! Kenge Sana hao
 
Hizi si alama za wapenzi wa jinsia moja, au macho yangu mabovu?

 
Hizo ndizo kwani hujui kua Ulaya ni haki na sheria ya mapenzi ya jinsia moja.
 
Yaan mijitu kama hiyo ningekua mamlakani ingenisamehe.....hakuna lijitu duniani linaniuzi kama lishoga
Kama hujihusishi na ushoga inakuuma nn kuona mwenzio shoga jua tu hakupenda kuwa vile,kikubwa shukuru mungu hujazaliwa vile au hujapitia mazingira ya kukufanya uwe vile
 
jua tu shoga hakupenda kuwa vile,maana hormone balance hazikuwa sawa ndio maana yuko vile yaan kiufupi mashoga wengi wanatokana na matatizo ya baiolojia na fiziolojia hivyo unapomnyanyasa na kumtenga ni sawa na kumnyanyapa kilema,Wazungu hawafanyi hayo kwasababu ya Imani za kishirikina lahasha Bali ni kama sehemu ya haki za binadamu kulitwa,sisi watu weusi tuna matatizo sana kila kitu lazima tupinge mfano kuna sehemu huko Morogoro inaitwa Chitta basi walitaka kupeleka mradi wa umeme wa Kihansi huwezi amini viongozi wa yale maeneo na wananchi wao waligoma kisa wanadai wataletewa magonjwa ya zinaa na wafanyakazi wa mgodi huo wa Umeme basi ule mradi hali tarafa jirani ya Mlimba ambao walinufaika kwa kujengewa lami pia usafiri wa bure kwa wakazi wote wa Mlimba kwa muda wa alfajiri SAA nne SAA 9 na jioni SAA 12,Leo hii Mlimba full umeme maeneo mengi na kumechangamka kushinda chita ika yote haya ni ujinga wa kizazi cha kipindi hicho,Kiufupi mtu mweusi anatatizo kubwa mno,unapinga ushoga kwa vigezo vya dini ambayo ni ya huyo huuyo ambaye anaunga mkono ushoga
 
Waafrika bado sana kuhusu kuvumilia na yanayowakera kutoka kwa wengine.
 
Kitu ambacho hatuelewi waafrika ni kuwa kuna kitu kinaitwa haki za binadamu ambazo zinampa mtu Uhuru wa kufanya lolote isipokuwa lisiingilie Uhuru au maisha ya wengine,Sasa sisi Waafrika tunapenda kupangiana sana maisha,eti sababu Mimi sio shoga basi na wewe lazima usiwe shoga,hivi kama MTU ni shoga na anjiheshimu na anaiheshimu hadhira sasa tatizo jamii zetu kuwaandama hawa watu linatoka wapi? Hamuoni kuwa mnawatorture kisaikolojia maana mtu kazaliwa na upungufu wa hormoni za kiume sasa unawezaje kumlazimisha awe na demu wakati anajua hana cha kumfanya mwanamke,Kwanini asiegeme ambapo ndipo anahisia napo,Wazungu wameliona hilo ndio maana wakaanzisha harakati za kitetea hili kundi hawa viumbe wenzetu ambao hawana tofauti na wale wa jinsia mbili(anaweza kuwa anamwonekano wa kike ika homoni nyingi ni za kiume na anamaumbile ya kiume) hivyo akiwa na demi watu watasema wanasagana na pia akiwa na mshikaji wataita ushoga,THIS IS AFRICA WE HAVE A LONG JOURNEY TO GO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…