Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA