Duh!Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu. Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Ni kweli kabisa, hilo ni jambo linalorudisha sana nyuma ushindani wa ligi.Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Kuna watu mnaishi kwa mateso sana.Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Ongea point 4 halafu uone kama lig upo on topNi kweli kabisa, hilo ni jambo linalorudisha sana nyuma ushindani wa ligi.
Simba hawafuati siasa hizo za kubebwa ndiyo maana timu kama Azam ambayo watu walikuwa wanadai ni tawi la Simba wamechukua point msimu huu ambazo zingetosha kuifanya Simba aongoze ligi sasa hivi.
Kuna Silent Ocean ambao mmiliki wake ni shabiki wa Simba ila mara nyingi Simba ikicheza ametoa dau kwa timu pinzani iifunge Simba.
Kuna timu zingine watu walizihisi zimeibeba Simba ila unashangaa mechi hizo hizo wachezaji muhimu wa Simba wanaumizwa vibaya na wanakaa nje kwa muda mrefu na magoli ya Simba katika mechi hizo hayana chembe yoyote ya kupatikana kwa hila.
Kwani kwa kufungwa mechi moja na kutoka sare mechi nyingine, Simba ilipoteza pointi 4?Ongea point 4 halafu uone kama lig upo on top
Tuambie mara ya mwisho namungo kumfunga simba ilikuwa mwaka gani? Acha utahaira kutaka kutafuta kichaka cha kuficha mahusiano ya simba na namungo, Mechi ya singida na yanga quality ndiyo itaamua na sio vinginevyo, Unataka singida ndiyo akiepuka kikombe cha ubora wa kikosi cha yanga kwa hoja ipi labda? Ina maana singida wana ubora kuliko timu zote zilizofungwa na yanga kombe la shirikisho mpaka useme wataiachia yanga! Unachekesha sana weweLigi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Namungo timu ya Majaliwa (Simba)Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo hutoa upinzani wa hali juu sana kiasi kwamba mpaka huumiza wachezaji wa SIMBA.
Kesho mtakuja hapa mnipe MAJIBU kuhusu SINGIDA vs YANGA
Ata useme nn mechi imeshaisha hiyoDuh!
Sikuhizi hawasemi BAHASHA [emoji1787][emoji28]