Mkuu kuhusu kufungwa haijawahusu wazawa pekee,mfano Yanga kufungwa na Vipers walihuska wachezaj wa ndan pekee ???we naye umekuja tu kuandika bila hata kuwa na Tathmini ya kina. yani kutofanya vizuri Chan ndio kigezo cha ligi kushuka kiwango? nani amekwambia ligi inachezwa na wachezaji wazawa pakee? halafu kufungwa kuna sababu nyingi , sio uwezo mdogo tu. inaweza kuwa kukosa muunganiko au mbinu hafifu za kocha. ina maana unataka kusema ligi ya Uganda ni bora kuliko yetu? we kaa tulia, uone timu zao na zetu zipi zitafafika mbali CAF
Wewe Jamaa unatumia Kichwa kama mfuniko wa ubongo tuHii ilianza kujionesha pale bingwa wetu alipozalilishwa na Vipers,hata kitendo Cha Jana Cha kufungwa na Uganda kilidhihirisha Hilo
Lig ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo Tena akiwa nyumban
Pia kushuka huku kwa ubora wa lig kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga
2.Wachezaj wa kigen wamezid mno
Kalpana mnachekwa huku eti mmefungwa na timu kutoka djibouti🤣🤣🤣🤣Mbaya zaidi moja ya timu yetu ya ligi kuu kufungwa na bingwa wa Djibouti, Sijawahi kufikiria timu ya Djibouti inaweza kupata matokeo Tanzania.
Sasa huyo ni wa kutucheka kweli wakati wao ndo mabingwa wa kufungwa ndani ya hii nji hasa wanapocheza na timu za nje. Yani mpk sasa wanaogopa hata kucheza na Namungo wanahisi ipo MsumbijiKalpana mnachekwa huku eti mmefungwa na timu kutoka djibouti🤣🤣🤣🤣
Ilianza pale mchezaji kutoka ligi ya Uganda kuwaacha Makolo kwenye mataa na kutimkia ChinaHii ilianza kujionesha pale bingwa wetu alipozalilishwa na Vipers,hata kitendo Cha Jana Cha kufungwa na Uganda kilidhihirisha Hilo
Lig ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo Tena akiwa nyumban
Pia kushuka huku kwa ubora wa lig kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga
2.Wachezaj wa kigen wamezid mno
Umeandika ujinga tu hapa. Kiufupi hakuna uhusiano wa Yanga na hiki ulichokiandika hapa.Hii ilianza kujionesha pale bingwa wetu alipozalilishwa na Vipers,hata kitendo Cha Jana Cha kufungwa na Uganda kilidhihirisha Hilo
Lig ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo Tena akiwa nyumban
Pia kushuka huku kwa ubora wa lig kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga
2.Wachezaj wa kigen wamezid mno
Kufungwa kwa timu ya ligi nbc inahusikaje? Mi nadhani ligue yetu imekuwa sana na inakua sana vigezo vingi mfano uwekezaji wa timuHii ilianza kujionesha pale bingwa wetu alipozalilishwa na Vipers,hata kitendo Cha Jana Cha kufungwa na Uganda kilidhihirisha Hilo
Lig ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo Tena akiwa nyumban
Pia kushuka huku kwa ubora wa lig kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga
2.Wachezaj wa kigen wamezid mno