Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Pole sana, mlifurahi na kufanya sherehe Prof Nabi alipoondoka. Sasa kwa huyu Muargentina mtatamani Nabi arudi.Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...Haya maneno yako yapo tofauti na ubora wa CAF...
Tukubali tu kwamba Yanga wapo vizuri kwa misimu hii mitatu...
Aahaaaaa,roho inakuumaaa mamaeeNi wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Simba walibebwa wazi waziNitakuelewa ukiniambia ligi inashuka ubora ksbb ya timu fulani kuandaliwa mazingira.
.
Ona Ngao ya jamii Singida walipiga boli na magoli yalifungwa matatu yote yakazimwa (wasingefunga mngesema goli gani wamefunga zikakataliwa?) Wakatolewa kwa matuta.
Ikaja final goli zikafungwa zikazimwa wazi wazi(labda zisingefungwa mngesema goli gani zilizozimwa?). Wakamtengenezea hata kibahati bahati. Ndani ya dakika 90 boli linasukumwa na wananchi, karia alikuwa mdogo.
Yanga ni mbovu limataifa,Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...
Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
Aahaaaa,wakajua wametuwezaPole sana, mlifurahi na kufanya sherehe Prof Nabi alipoondoka. Sasa kwa huyu Muargentina mtatamani Nabi arudi.
Waingereza wanaita “farmers league”Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa
Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..
TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Hameni ligiWaingereza wanaita “farmers league”
Yanga wametoka kucheza fainali ya shirikisho.Kimataifa ndiyo kipimo sahihi cha simba na yanga
Atakwambia Hilo ni kombe la loosersYanga wametoka kucheza fainali ya shirikisho.
return of championsYanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...
Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
PIRA GAMONDI.......... zuwena fcTimu kufungwa goli tano ni kawaida ndio mpira ulivyo tangia zamani.
Au nasema urongo yakheee,,!😂😅
View attachment 2732822