Ligi yetu inazidi kupungua ubora kila mwaka. Timu dhaifu, hakuna ushindani

Ligi yetu inazidi kupungua ubora kila mwaka. Timu dhaifu, hakuna ushindani

Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..

TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Pole sana, mlifurahi na kufanya sherehe Prof Nabi alipoondoka. Sasa kwa huyu Muargentina mtatamani Nabi arudi.
 
Nitakuelewa ukiniambia ligi inashuka ubora ksbb ya timu fulani kuandaliwa mazingira.
.
Ona Ngao ya jamii Singida walipiga boli na magoli yalifungwa matatu yote yakazimwa (wasingefunga mngesema goli gani wamefunga zikakataliwa?) Wakatolewa kwa matuta.

Ikaja final goli zikafungwa zikazimwa wazi wazi(labda zisingefungwa mngesema goli gani zilizozimwa?). Wakamtengenezea hata kibahati bahati. Ndani ya dakika 90 boli linasukumwa na wananchi, karia alikuwa mdogo.
 
A
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..

TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Aahaaaaa,roho inakuumaaa mamaee
 
Nitakuelewa ukiniambia ligi inashuka ubora ksbb ya timu fulani kuandaliwa mazingira.
.
Ona Ngao ya jamii Singida walipiga boli na magoli yalifungwa matatu yote yakazimwa (wasingefunga mngesema goli gani wamefunga zikakataliwa?) Wakatolewa kwa matuta.

Ikaja final goli zikafungwa zikazimwa wazi wazi(labda zisingefungwa mngesema goli gani zilizozimwa?). Wakamtengenezea hata kibahati bahati. Ndani ya dakika 90 boli linasukumwa na wananchi, karia alikuwa mdogo.
Simba walibebwa wazi wazi
 
Yanga ina miaka 25 haijawahi kufikia hatua ya makundi club bingwa...

Kama Caf wanasema Yanga ni bora kwa nini wameanza round ya kwanza kwenye CAF CL?
Yanga ni mbovu limataifa,
Ila mwaka huu anaweza futa uteja huo Kwa kuwatoa wale wa Sudani,acha tuone
 
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa

Azam imetolewa na timu kibonde kutoka ligi dhaifu ya Ethiopia, Singida ambayo inaonekana ni bora imefungwa na JKU ya Zanzibar..

TAHADHARI: Watu wasijione wanapiga vibonde goli nyingi wakajisifu, kimataifa wanaweza kuishia tena raundi ya pili
Waingereza wanaita “farmers league”
 
Timu kufungwa goli tano ni kawaida ndio mpira ulivyo tangia zamani.
Au nasema urongo yakheee,,!😂😅
images (1).jpeg
 
Back
Top Bottom