Kwa hiyo???!!!Kiufupi ni kwamba Namungo wameonewa..haikuwa penalti halali,mchezaji wa namungo alicheza mpira,refa kaweka tuta..aisee acha tu tuwe wasindikizaji.
Makolo yangeanza kulia lia kukamiwa...Mbeleko fc
Inawezekana wewe ni Yanga fake...wako wengi wa aina hiyo...Nakuruhusu fatilia vizuri humu utanijua ni shabiki wa timu ipi. Nafuria kupata point lakini ukweli utabakia pale pale refa katubeba kwa mbelrko ya chuma mkuu
Hii inaitwa tajirika na GSM!!! Kila refa anajitahidi kutokupoteza fursa!! Kwa namna hii Tz hatutaweza kuja kutoboza kimataifa, na marefa wa Tz wasahau kuchezesha mechi kubwa za kimataifa!! maana upuuzi huu unarushwa live mbele ya dunia yote!!!iyo penalt ni aibu kwa mpira wa tz
Hivi bao lenyewe wamepata dakika ya tisini na ngapi?!Mumshukuru refa kaokoa jahazi,bila hivyo mngeanza lawama kws tff na Mwakalebela.
Yanga wamlipe kummalizia pesa yao mwamuzi aliyewabebaNi pale kwa Majariwa Stadium, Bila ya Kiungi Khalid Aucho, Ni Namungo Fc Dhini Ya Vinara Wa Ligi Kuu Tanzania Yanga Sc, Ni muendelezo wa Mechi za Ligii kuu Tanzania Bara.
Je, Nani Kuibuka Na Ushindi Ni Namungo au Yanga, Majibu yote ni Baada Ya Dakika 90 kumalizika Kuanzia Saa 10 kamili Jioni Ya Leo.
Baada ya Maneno Mengi na Maswali Mengi ya Fair Competition Nini kitatokea Leo?
Tuwe hapa kwa Dakika 90
Hela ya GSM inaharibu sana ligi yetuHii ni timu yenye kubebwa sana na waamuzi lakini wanaongoza kulalamikia waamuzi,TFF na hata bodi ya ligi.
Leo mmetia aibu sana na mwamuzi wenu aliyewapa penalty na kuwanyima Namungo penalty mbili.
Huyu mwamuzi asipoadhibiwa ataligharimu soka.
Nimeona baada ya penalty kutolewa washabiki wengi walidharau mechi na kuanza kuondoka hapa kibanda umiza
Halafu tunataka ligi iwe bora na Qatar walikuwa wanaiotaRefa anapaswa kufungiwa. Kwa maslahi mapana ya Mpira wa Tanzania. Kwasababu Position alio kuwepo Mwamuzi na Tukio lilipo Tokea Ni karibu sanaaaaa.