Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,836
- 2,536
Yanga bingwa msimu huu[emoji23][emoji23][emoji23]yani alipewa kadi nyekundu sio aliyecheza hiyo rafu ya uongo na wala sio aliyemtukana mana yake aliyekuwa anamtukana pale ni jacob massawe na rafu kacheza emmanuel dogo wa mbao[emoji23][emoji23][emoji23]