Ligii kuu Tanzania Bara: Namungo FC 1-1 Yanga SC

Yanga bingwa msimu huu[emoji23][emoji23][emoji23]yani alipewa kadi nyekundu sio aliyecheza hiyo rafu ya uongo na wala sio aliyemtukana mana yake aliyekuwa anamtukana pale ni jacob massawe na rafu kacheza emmanuel dogo wa mbao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa Namungo tangu wamepanda daraja wamekuwa wakitusumbua sana na tena kwa muda mrefu na mechi ya leo japokuwa sijaangalia nilijua tutapigwa tu

Kocha hakutakiwa aanze na wachezaji wakucheza kwenye viwanja vzr

Farid Mussa na Moloko viwanja hivi vinawasumbua sana kutokana na aina ya Ball control zao
 
Penati inapigwa huku wachezaji zaidi ya wanne wapo karibu na sita. Na refa naye yupo ndani ya sita
 

Hawa Namungo ni kawaida sana kwenye mechi zetu hasa kuponea chupuchupu na kutoa sare

Ni Matokeo positive sana kwa Yanga na pale ndio ubora na ujanja wa baadhi ya wachezaji kwenye mechi ngumu kama hizi kuamua hizi game

Mechi kama hizi ndio unakuwa na mchezaji aina ya clatous chota chama ambao wao kufanya magic kwenye kiwanja ni kitu cha kawaida sana
 
Ujinga mtupu, usilinganishe uwezo halisi wa wachezaji na kubebwa na refa.
 
Acha zako ujanja afanye refa kongole ziende kwa wachezaji, nyie watu mbona mmekosa fadhila?
 
Nyinyi hamuwasumbui namungo, namungo wanasumbuliwa na refa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…