y??? tel me aiko pouwa????
nichagulie nami ntaweka sasa ivi utakayonpa
Whats cooking here...:doh::doh::doh:
Tena ashukuru Mola wake maana ndo jamaa kagundua hazina iliyokuwa imefichika. Wakati huo wa mara 3 alikuwa hajajua kuoga na kujipendezesha! Alipoanza kuoga tu jamaa akagundua almasi. Hongera zake! Wengine tunajikongoja kugonga hata tuwili na akina mama big wanalalamika. Kama kuna mtu mwenye bahati ni huyo shoga yako! Mwambie atoe ushirikiano aache uvivu!
we waionaje mkuu iyo signature???
we waionaje mkuu iyo signature???
Hii kompyuta yangu haiana siginecha.....
Ila :nono::nono::nono::nono:
apana nini ma darling?
tok 2me..i wl xplain t...!!!!!!(UAMINIFU100% UNAWEZEKANA)
Hivi leo ijumaa au juma tatu....:smile:
sio mi wa madem yan apo yamaanisha nimeichagua chadema mapema mana ni kama gal mbichiiii ivo tunamwandaa kuwa mkubwa na kuongoza tz...yap
haipo poa kimaadili
as if we ni wa mademu sana
we andika mbili afu mi ntakuchagulia moja
St RR.....naomba mwongozo hapo juu....!
una uakika unachoKINENA Mkuu????Hii kompyuta yangu haiana siginecha.....
Ila :nono::nono::nono::nono:
St RR.....naomba mwongozo hapo juu....!
apana nini ma darling?
tok 2me..i wl xplain t...!!!!!!(UAMINIFU100% UNAWEZEKANA)
una uakika unachoKINENA Mkuu????
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
Mwambie avumilie tu Ndoa ina shida na raha kwa sasa mwanaume ndo anapata raha yeye anapata karaha.
Kama ameshindwa kuhimili mikimiki amruhusu mwanaume atafuta nyumba ndogo awe anapoozea kwanza huko
Halelujah!!no ths is not right, huyo ni mke aliyempenda mwenyewe au amelazimishwa? how can one stand to see the person they love suffering like that? hii siielewi kwa kweli