Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

y??? tel me aiko pouwa????
nichagulie nami ntaweka sasa ivi utakayonpa


yap
haipo poa kimaadili
as if we ni wa mademu sana
we andika mbili afu mi ntakuchagulia moja
 
Whats cooking here...:doh::doh::doh:

ohh ma epo pie i thot umesafiri ughaibun leo....hahaha m sory
nthng iz kookng here its just UPENDO WA AGAPE KW AUYU PAS
eeh jaman. ulali??
 
Tena ashukuru Mola wake maana ndo jamaa kagundua hazina iliyokuwa imefichika. Wakati huo wa mara 3 alikuwa hajajua kuoga na kujipendezesha! Alipoanza kuoga tu jamaa akagundua almasi. Hongera zake! Wengine tunajikongoja kugonga hata tuwili na akina mama big wanalalamika. Kama kuna mtu mwenye bahati ni huyo shoga yako! Mwambie atoe ushirikiano aache uvivu!

kwani mama big si huwa anatoa msaada kwa wanawake ambao ndoa zao zina matatizo kama haya!!mama big mi ningeona poa kama ungempa penzi huyo mme wa rafiki yako, angalao huyo mwanamke awe anapata break ya kuikanda hiyo mbunye yake!
 
yap
haipo poa kimaadili
as if we ni wa mademu sana
we andika mbili afu mi ntakuchagulia moja
sio mi wa madem yan apo yamaanisha nimeichagua chadema mapema mana ni kama gal mbichiiii ivo tunamwandaa kuwa mkubwa na kuongoza tz...
ila amnt player rose

 
hao hawakuoana bali wanatesana.Yaweza kuwa kiwakilishi cha ndoa nyingi.Neno la kusemea hapo nikwamba kuna ushamba maridhawa wa mwanaume asiyejua tofauti ya kuumiza na kupendezesha na tatizo la kutokuwepo na mawasiliano kati ya wanandoa.Sasa niulize kama JF imegeuka Marital Counselling Blog ama ina mipaka ya mada ama mada zote ni ruksa ama kuna nini hapa haswa!
 
nyinyi nanyi mkisuguliwa mwalalamika mkiachwa mwalalamika wanaume kazi mnayo mi ningempata huyo angeacha mwenyewe maana ningempa hata mara kumi kwa usiku mmoja na haya mazoezi nafanya pumzi inatosha kwa shughuli:tape:
 
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata


Salama mama kumbw huyo jiraniyako mfundiche jinsi yakumrizisha shemejiyako inaelekea huwa anakauka ute nainpelekea kumshubua kwandani kama huwa haweki fikra zake kwenye ngono ajitahidi kuhisi ili awe na ashiki itamsaidia kutokwa majmaji ukeni lakini kama anafanya kwakuhisi kama anonewa ndoa itamshinda labda jama kaanza kutumia za kichichi
 
Mwambie avumilie tu Ndoa ina shida na raha kwa sasa mwanaume ndo anapata raha yeye anapata karaha.

Kama ameshindwa kuhimili mikimiki amruhusu mwanaume atafuta nyumba ndogo awe anapoozea kwanza huko

no ths is not right, huyo ni mke aliyempenda mwenyewe au amelazimishwa? how can one stand to see the person they love suffering like that? hii siielewi kwa kweli
 
no ths is not right, huyo ni mke aliyempenda mwenyewe au amelazimishwa? how can one stand to see the person they love suffering like that? hii siielewi kwa kweli
Halelujah!!
I rebuke that habit/ Orait I rebuke that msuguano usio na maadili.
 
huyo ni mke wake lazima apewe haki yake ila cha msingi waelewane jinsi ya kufanya inaonekana huyo jamaa hata hana kazi ya kufanya kazi ni hiyo tu !
 
Back
Top Bottom