Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

Avunje ukimya azungumze naye kwa msaada wa watu wa marekani :yield:
 
mie ningemweleza ukweli kwamba sasa sio starehe ni karaha. na ningemnyima.
 
Kwa afya, kama mpo wote kila siku, mara moja inatosha........... kwani mpo kwenye mashindano, mnategemea zawadi?

sasa hizi ndo ratiba ambazo kwakweli hazi apply kote jamani!!!!!!
 
Ishu hapa ni msuguano unaotokea hivyo inamlazimu kukojoa kwenye ndoo iliyojaa maji kunusuru majeruhi yaliopatikana

Duu Mamie Big, hii sijaielewa, unamaana anaingia kwenye ndoo na kukojoa humo?
 
dig dig acha habar zako
nkiachika utanijua......
Utakuja kwangu kwani hautaki kusheaaa
on your way to Dom, pitia kwangu........Im sure utaachika na utaenda kwa Pope.
Angalao upite kwangu, mi shemejio nikufute machozi na nifanye utaratibu wa UKOO na yatokanayo.
Anatumia nafasi yake ya ufadhili kufanikisha mambo yake dawa yako iko jikoni
....hii kauli ikitoka kwa digidigi sina hofu...ila ikitoka kwa mwenye kipawa cha kuvunja nguvu za giza...
kuwa na aman
Jumamosi ulienda kwenye maadhimisho?
mfadhili hanaga madhara kwa bnadamu eva
naenda tu patiwa ukoo then mim ni wako forever n ever!!!!!
Uliza CCM wanamjua Rostam vizuri
utanitaliki?
Utalikiwe mara ya ngapi?
 
Utakuja kwangu kwani hautaki kusheaaa

Anatumia nafasi yake ya ufadhili kufanikisha mambo yake dawa yako iko jikoni

Jumamosi ulienda kwenye maadhimisho?

Uliza CCM wanamjua Rostam vizuri

Utalikiwe mara ya ngapi?
mara 10
 
tafadhali bibie utakapopewa talaka utujuze, kwani kuna wengine tuna high affinity na waloachika!!!!

we skutak
utanchokoza ntakonda bure
skutak mieeeee..bacha pita mbele mi sikuwez nkiachika kwa rr bora nibak mjane kuliko kuwa na wewe
 

Mama Big kumbe unaijua dozi yangu?:hippie::hippie::hippie:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…