Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

Hamna Babu si unajua mimi niko under 30's kwahiyo hata ukinipa madhara ni madogo tofauti na ukimpa CARINA-TI na GENERATION-Y

That is status and gender CALLING.....You have been notified!
 
Halafu wewe, nikikukamata, ama zako ama zangu!!!!!!!!!!!!!!


:nono::nono::nono::nono: Dont play with Big Mama ntakupoteza kijana.....:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
aweke vipande vya barafu pale moto unapozidi majivu.
Naam, mtu akishusha moja moja mnasema oooh jamaa doro, sasa jamaa anapiga double attack mnamwona muuaji.
ninyi wanawake mkoje jamani?? si musmhauri mwenzenu anunue yale mafuta ya kulainishia mitambo ili kusaidia mwendo kasi na vurugu za msuguano????
hongera zake huyo bazazi anapiga ligwaride kwa sababu zooote
 
Sikia kengele;tulia na wako.ooh!Sorry namaanisha:Vunja ukimya;zungumza na mwenzako.
Tehe!
 
Mhy mie hata sijui nicomment nini hapa maana Mama Big umekuja na kubwa kuliko..... ehee.. hebu mwite huyo shost pembeni atutonye maana wengine baada ya kushusha injini ndo kama tumewafukuza .......huombwi hadi uombe lol... na ukiomba wapewa nusu hebu mwite shogayo atupe siri ya mafanikio tumechoka kufanywa walimu wa Zamu wakti sie ndo walimu wakuu wa shule bwana
 
Eti Smiles, unaelewa wanachojadili Kaizer, Mama B, The Finest na G-Y hapo juu?
Mi hapana elewa....

kwa kweli hata mi siwapati kabisaa... finest anasema dabo road sijui lami...mara vumbi mi hata sielewi mwe!!:confused2:
 
huyo ni mke wake lazima apewe haki yake ila cha msingi waelewane jinsi ya kufanya inaonekana huyo jamaa hata hana kazi ya kufanya kazi ni hiyo tu !

Starehe ya maskini mkewe! Aende wapi na kilabuni hana hela ya kuagiza mbege. Akizunguka kidogo tuu mama naniiiiiiiiii ule mkasi nloweka hapa uko wapi? mme wangu si uko hapa juu ya mlagooooooooooooo aha mi siuoni bana njoo nionyeshe huko. Mama anaingia ndani mara kimyaaaaaaaaaaa mwisho wanatoka wote vijasho vya pua vinawatoka.
 
Mhy mie hata sijui nicomment nini hapa maana Mama Big umekuja na kubwa kuliko..... ehee.. hebu mwite huyo shost pembeni atutonye maana wengine baada ya kushusha injini ndo kama tumewafukuza .......huombwi hadi uombe lol... na ukiomba wapewa nusu hebu mwite shogayo atupe siri ya mafanikio tumechoka kufanywa walimu wa Zamu wakti sie ndo walimu wakuu wa shule bwana

hahahahah umenichekesha sana.... mwe!
 
Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
This man is afflicted by the spirit of lust...............I am sure he needs help.....................sex is designed to be joyful but not a torment........................

Vinginevyo, huyu bwana ana wivu sana..............na aona mkewe anaweza kuwa anawamegea jamaa wakati hayupo............This is a symptom of a very low self-esteem................that is not how marriage is supposed to be.....................

Kwa haya mawili ajaribu kujiuliza huyu mumewe kwa nini anamdhalilisha kiasi hicho? Ajue ana matatizo yawezekana shughuli zake hazimwendei vizuri na ndiyo maana ghadhabu zake zaishia kwa mkewe................................

Knowing the source of a problem is half of getting the lasting solution............
 
Back
Top Bottom