- Thread starter
- #141
Halafu wewe, nikikukamata, ama zako ama zangu!!!!!!!!!!!!!!
Kulikoni kunitisha hivyo Mama KUBWA wanitishia nyau sio....ata siogopi mwenthio dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe, nikikukamata, ama zako ama zangu!!!!!!!!!!!!!!
Hamna Babu si unajua mimi niko under 30's kwahiyo hata ukinipa madhara ni madogo tofauti na ukimpa CARINA-TI na GENERATION-Y
Halafu wewe, nikikukamata, ama zako ama zangu!!!!!!!!!!!!!!
Kulikoni kunitisha hivyo Mama KUBWA wanitishia nyau sio....ata siogopi mwenthio dada
That is status and gender CALLING.....You have been notified!
That is status and gender CALLING.....You have been notified!
hahah mama Big na GY mmetokea pande za mikoroshini ama Bunju? mbona saa hizi?
Usijali si unajua tena mikoroshini muhimu sana hasa ukiwa na GY
hahaha nimepatia kumb eeeh
That is status and gender CALLING.....You have been notified!
GY ondoa vumbi weka lami then double road
Orait orait.....na mimi pia sijambo (miss u......)
oh u just got that right out of my mind....
GY ondoa vumbi weka lami then double road
Double road isiyo na lami
.Eti Smiles, unaelewa wanachojadili Kaizer, Mama B, The Finest na G-Y hapo juu?
Mi hapana elewa...
Eti Smiles, unaelewa wanachojadili Kaizer, Mama B, The Finest na G-Y hapo juu?
Mi hapana elewa....
huyo ni mke wake lazima apewe haki yake ila cha msingi waelewane jinsi ya kufanya inaonekana huyo jamaa hata hana kazi ya kufanya kazi ni hiyo tu !
Mhy mie hata sijui nicomment nini hapa maana Mama Big umekuja na kubwa kuliko..... ehee.. hebu mwite huyo shost pembeni atutonye maana wengine baada ya kushusha injini ndo kama tumewafukuza .......huombwi hadi uombe lol... na ukiomba wapewa nusu hebu mwite shogayo atupe siri ya mafanikio tumechoka kufanywa walimu wa Zamu wakti sie ndo walimu wakuu wa shule bwana
This man is afflicted by the spirit of lust...............I am sure he needs help.....................sex is designed to be joyful but not a torment........................Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata