Lijishangazi au kademu, nimuoe nani?

Lijishangazi au kademu, nimuoe nani?

NANAOMBA USHAURI

Habari yako mwana JF mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninafanya kazi ya bodaboda

Nilikuwa na mpenzi wangu niliyeishi nae kwa miaka 4 sasa na tuna ahadi ya kuoana

Lakini mwaka juzi nilipata abiria MAMA mtu mzima ana miaka kama 45 ni mtu anayejiheshimu na anafanya kazi ya kuuza genge (matunda,nyanya, dagaa na vitu vyengine) tulianza mahusiano ya kibiashara kama bodaboda wake kisha akawa mshauri wangu yaani nikipata tatizo la kutaka ushauri huwa namuona yeye na ananishauri vizur mno maisha yamekwenda hadi akawa mpenzi wangu

Tokea tuwe wapenzi amekuwa mtu muhimu sana katika maisha yangu amenishaur mambo mengi hadi sasa najiona nimepiga hatua kubwa ya kimaisha mwanzoni nilikuwa na pikipiki moja lakin sasa hivi ninazo mbili na pia nimefungua biashara ya kuuza chips na pia nimefungua machine za kuuza juice ya miwa ninakwambia ukweli kabisa mawazo yote haya yametoka kwa huyu mwanamke. Mwanzoni hela yote nilikuwa naimaliza kwa mirungi, kubeti na pombe nashukuru kwa ushauri wake mirungi na kubeti nimeacha kabisa pombe nayo naelekea kuacha kabisa haya yote ni mawazo yake na ushauri wake

Changamoto imekuja kuwa anataka tuoane na mimi sijawahi kumwambia kuwa nina mpenzi mwengine kwa sababu mara nyingi huwa nina lala kwake (mpenzi wangu anaishi kwao)

Napata wakati mgumu wa kufanya maamuzi nifanyeje??

Nampenda huyu Mama kutokana naamini nikiendelea kuwa nae maisha yangu yatazidi kuwa mazuri kutokana na mawazo yake

Lakini pia yule mpenzi wangu nae nampenda sana na ananipenda na nyumbani kwao wananijua japo sio rasmi

WOTE NAWAPENDA SIJUI NIFANYE NINI??

Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
 

Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
Mpuuzi sana huyu
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
30+ don't call someone lishangazi...

30+ ushakosa vigezo vya kuita mtu shangazi...
We komaa na huyo mwenzako
 
Ag
NANAOMBA USHAURI

Habari yako mwana JF mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninafanya kazi ya bodaboda

Nilikuwa na mpenzi wangu niliyeishi nae kwa miaka 4 sasa na tuna ahadi ya kuoana

Lakini mwaka juzi nilipata abiria MAMA mtu mzima ana miaka kama 45 ni mtu anayejiheshimu na anafanya kazi ya kuuza genge (matunda,nyanya, dagaa na vitu vyengine) tulianza mahusiano ya kibiashara kama bodaboda wake kisha akawa mshauri wangu yaani nikipata tatizo la kutaka ushauri huwa namuona yeye na ananishauri vizur mno maisha yamekwenda hadi akawa mpenzi wangu

Tokea tuwe wapenzi amekuwa mtu muhimu sana katika maisha yangu amenishaur mambo mengi hadi sasa najiona nimepiga hatua kubwa ya kimaisha mwanzoni nilikuwa na pikipiki moja lakin sasa hivi ninazo mbili na pia nimefungua biashara ya kuuza chips na pia nimefungua machine za kuuza juice ya miwa ninakwambia ukweli kabisa mawazo yote haya yametoka kwa huyu mwanamke. Mwanzoni hela yote nilikuwa naimaliza kwa mirungi, kubeti na pombe nashukuru kwa ushauri wake mirungi na kubeti nimeacha kabisa pombe nayo naelekea kuacha kabisa haya yote ni mawazo yake na ushauri wake

Changamoto imekuja kuwa anataka tuoane na mimi sijawahi kumwambia kuwa nina mpenzi mwengine kwa sababu mara nyingi huwa nina lala kwake (mpenzi wangu anaishi kwao)

Napata wakati mgumu wa kufanya maamuzi nifanyeje??

Nampenda huyu Mama kutokana naamini nikiendelea kuwa nae maisha yangu yatazidi kuwa mazuri kutokana na mawazo yake

Lakini pia yule mpenzi wangu nae nampenda sana na ananipenda na nyumbani kwao wananijua japo sio rasmi

WOTE NAWAPENDA SIJUI NIFANYE NINI??
Age goo...
 

Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 

Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
Aise jamaa bata kweli
 

Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
Aisee!!! Ndugu wewe kweli ni MHANDISI MZALENDO
 
Back
Top Bottom