Lijishangazi au kademu, nimuoe nani?


Hapa juu ulikua umeajiriwa mwaka huu.


Hapa December 2023 ulikua umeajiriwa na una mke na watoto wanne.


Hapa 2019 ulisema umeoa na umekutana na classmate aliyekupa limbwata.

Leo umekua bodaboda una lishangazi na mke wako karudi kwao kawa kigoli unawaza kumuoa tena au lishangazi.

kazi kweli kweli vijana.
 
Mpuuzi sana huyu
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
30+ don't call someone lishangazi...

30+ ushakosa vigezo vya kuita mtu shangazi...
We komaa na huyo mwenzako
 
Ag
Age goo...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Aise jamaa bata kweli
 
Beba lishangazi hilo ufaidi mema ya dunia
 
Aisee!!! Ndugu wewe kweli ni MHANDISI MZALENDO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…