Lijishangazi au kademu, nimuoe nani?

Hainaga vipimo uwongo uwongo tu
Ukute anaitwa baba fulani huko kijijini kwao 😁😁😁
 
Miaka 30 wewe sio kijana tena,bora ukomae na huyo mama mmalizie uzee wenu kuliko kuja kumchanganya binti wa watu, ambae bado ana future na maisha yake ya mbele na wabibi wajane.
Eti miaka 30 sio kijana duuh!
 
Wazee wa kufukua makaburi ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] safi saana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…