Lijue Baraza la Sanhedrin lililotengeneza mashitaka ya kumuua Yesu

Lijue Baraza la Sanhedrin lililotengeneza mashitaka ya kumuua Yesu

Shemasi Jimmy

Member
Joined
Apr 23, 2021
Posts
93
Reaction score
104
assembly-of-men.jpg

LIJUE BARAZA LA SANHEDRIN LILILOTENGENEZA MASHITAKA YA KUMUUA YESU

Wote waliokuwepo katika Baraza wakasimama, wakampeleka Yesu kwa Pilato. 2 Wakafungua mashtaka yao kwa kusema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu. Yeye anawaambia watu wasi lipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.”(luka 23:1-2)

Na Shemasi Jimmy 0659 611 252

Ni baraza la wazee 70 wenye uwelewa mpana wa vitabu vya Mishnah na Torati. Liliundwa na kada 4 tofauti
Mafarisayo mfano Nikodemo
  • Masadukayo –Josefu kayafa
  • Makuhani-kayafa & Anasi
  • Wafanyabiashara wenye ushawishi mfano Yusufu Wa Armathaya
  • Baraza hilo lilikua limegawanyika katika aina kuu mbili
  • Lesser Sanhedrin hili lilikua baraza la wazee 23 hawa walifanya maamuzi katika ngazi ya mkoa.
  • The great Sanhedrin hili lilikua baraza la wazee 70 hawa walifanya maamuzi juu ya taifa zima la Israeli, walikua na ushawishi mkubwa kwa jamii nzima ya Israeli. kwa sababu hiyo, serekali ya Rumi ilifanya kila iwezalo kuhakikisha inakua na vibaraka ndani ya baraza hilo muhimu.
  • Chanzo cha baraza hili ni wale wazee 70 waliochaguliwa na Musa jangwani ili wawe msaada kwake.
  • Hes 11:16 SUV Kisha BWANA akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe
MUNGU AKUBARIKI KWA KUSOMA UJUMBE HUU
 
Nahisi mtoa mada alisikia kwenye hotuba ya pasaka, ile kushtuka aanze kunakiri, muhubiri wa somo kakaribia kufika mwisho wa somo, maana si kwa kufupisha huko!, Mada inapamba moto yeye ndo kakata moto 😄!.
shalom ndugu! lengo langu kama mwandishi sio kusimulia kifo cha Yesu bali kundi la marabi walioitwa Sanhedrin jinsi walivyohusika katika kuandaa mashitaka ya masihi. unaweza kuuliza kile ulichokua unategemea na nitakitolea ufafanuzi kwa kdri Mungu atakavyonijaalia.
 

LIJUE BARAZA LA SANHEDRIN LILILOTENGENEZA MASHITAKA YA KUMUUA YESU

Wote waliokuwepo katika Baraza wakasimama, wakampeleka Yesu kwa Pilato. 2 Wakafungua mashtaka yao kwa kusema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu. Yeye anawaambia watu wasi lipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.”(luka 23:1-2)

Na Shemasi Jimmy 0659 611 252

Ni baraza la wazee 70 wenye uwelewa mpana wa vitabu vya Mishnah na Torati. Liliundwa na kada 4 tofauti
Mafarisayo mfano Nikodemo
  • Masadukayo –Josefu kayafa
  • Makuhani-kayafa & Anasi
  • Wafanyabiashara wenye ushawishi mfano Yusufu Wa Armathaya
  • Baraza hilo lilikua limegawanyika katika aina kuu mbili
  • Lesser Sanhedrin hili lilikua baraza la wazee 23 hawa walifanya maamuzi katika ngazi ya mkoa.
  • The great Sanhedrin hili lilikua baraza la wazee 70 hawa walifanya maamuzi juu ya taifa zima la Israeli, walikua na ushawishi mkubwa kwa jamii nzima ya Israeli. kwa sababu hiyo, serekali ya Rumi ilifanya kila iwezalo kuhakikisha inakua na vibaraka ndani ya baraza hilo muhimu.
  • Chanzo cha baraza hili ni wale wazee 70 waliochaguliwa na Musa jangwani ili wawe msaada kwake.
  • Hes 11:16 SUV Kisha BWANA akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe
MUNGU AKUBARIKI KWA KUSOMA UJUMBE HUU


Yesu ni Mungu au siye Mungu??
 
shalom ndugu! lengo langu kama mwandishi sio kusimulia kifo cha Yesu bali kundi la marabi walioitwa Sanhedrin jinsi walivyohusika katika kuandaa mashitaka ya masihi. unaweza kuuliza kile ulichokua unategemea na nitakitolea ufafanuzi kwa kdri Mungu atakavyonijaalia.
Shalom deacon, hata mimi sikuwa na lengo la kutaka kujua kifo cha Masihi bali topic yako imekatika.
 
MUNGU WETU ALITAKIWA KUSURUBIWA NA KUFA ILI MIMI NA WW MUISLAM TUSAMEHEWE DHAMBI ZETU
 
Back
Top Bottom