Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hata Mkuu wa Polisi keshasema hatakuwa na utii kwa jameer baada ya leo.
Makamu wa Rais Bw.Issah tou nae kamkwepa jamaa.
Kiufupi Jamaa anatafuta pa kufia.
Kijiographia hii gambia cjaielewa kbsa, yani ipo katikati ya senegal kwa muundo wa gulf au penisula?Pale ni population ya kama milioni mbili na nchi yote imezungukwa na Senegal. Lakini kikubwa zaidi ni kuwa jamaa ameshindwa uchaguzi pamoja na vitisho kwa hiyo ni wazi hana strong ground kupigana na muungano wowote.
Wakigoma,ni kuwapiga mashambulizi ya kushtukiza kwenye maeneo nyeti,hapo wanapohifadhi ndege pashambuliwe ghafla kwa ndege za kivita na kuziharibu ndege zote.
Kambi za jeshi zipigwe usiku kwa ndege za kivita.
Hivyo vi boti pia vichapwe usiku na ndege za kivita.
Ambush ifanyike kama ile ya comorro pale Tanzania ilipomtoa muasi,
Operesheni ikianza saa saba usiku, SAA tano asubuhi biashara imeisha
Wanajeshi wa miguu washushwe kwa meli usiku wa manane kutoka kona zote za nchi,kisha waizingire
Umenikumbusha kuna vita Watanzania walienda kusaidia sijui kanchi gani? walienda na waandishi wa habari wakawa wanafotolewa picha walivyorudi tulikoma.Hapo kutakuwa hamna vita. Ni kuivamia tu na kuikalia mpaka mambo yatulie.
Mkuu wewe ni Mhere Mwita wa Geita, kijana wa mzee Mwita wa Ardhi?Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa jeshi la akiba. Katika jeshi ambalo liko tayari kwa vita lenye askari 1000, Kikosi cha Majini kina askari 125, cha anga kina askari 100 na Kikosi cha Ardhini askari takribani 700 huku kile cha kumlinda Yahya Jammeh kikiwa an askari 75 - 100. Jeshi la Gambia lina magari ya kivita pamoja na deraya takribani 12 na nyingi kati ya hizo ziko chini ya kikosi cha ulinzi wa Rais,".
Wana ndege sita za kivita zikiwemo Su-25 Frogfoot kutoka Georgia, Ndege mbili aina ya AT- 802A za kusafirisha vifaa vya kijeshi, ndege moja ya kivita aina ya Il-62M Classic, ndege moja ya kivita aina ya Skyban 3M na ndege moja ya kivita mahsusi kwa shughuli za ulinzi wa anga. Kwa upande wa jeshi la majini, wana boti 3 za kivita, ya kwanza ni Peterson kwa ajili ya kukagua malindo, pamoja na boti mbili ziendazo kasi ambazo zimetengenezwa nchini Hispania.
Bajeti ya jeshi la Gambia kwa mwaka mmoja ni dola za Marekani Milioni 1, hii ni moja ya bajeti ndogo kabisa za jeshi duniani. Kwenye viwango vya kimataifa vya kijeshi, jeshi la Gambia linashikilia nafasi ya tisa kutokea mkiani, yaani kama dunia inapambanisha majeshi kutoka nchi 200 duniani, Gambia inashika nafasi ya 191 ikishindana na vijeshi vidogo kama Bahamas n.k.
[HASHTAG]#Unadhani[/HASHTAG] kajeshi haka katamlinda Jammeh dhidi ya "mijeshi" yenye bajeti za dola Milioni 300 hadi Dola Bilioni 3? Ukitaka kujua zaidi soma uchambuzi wangu katika Gazeti la Mwananchi kesho.
Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa jeshi la akiba. Katika jeshi ambalo liko tayari kwa vita lenye askari 1000, Kikosi cha Majini kina askari 125, cha anga kina askari 100 na Kikosi cha Ardhini askari takribani 700 huku kile cha kumlinda Yahya Jammeh kikiwa an askari 75 - 100. Jeshi la Gambia lina magari ya kivita pamoja na deraya takribani 12 na nyingi kati ya hizo ziko chini ya kikosi cha ulinzi wa Rais,".
Wana ndege sita za kivita zikiwemo Su-25 Frogfoot kutoka Georgia, Ndege mbili aina ya AT- 802A za kusafirisha vifaa vya kijeshi, ndege moja ya kivita aina ya Il-62M Classic, ndege moja ya kivita aina ya Skyban 3M na ndege moja ya kivita mahsusi kwa shughuli za ulinzi wa anga. Kwa upande wa jeshi la majini, wana boti 3 za kivita, ya kwanza ni Peterson kwa ajili ya kukagua malindo, pamoja na boti mbili ziendazo kasi ambazo zimetengenezwa nchini Hispania.
Bajeti ya jeshi la Gambia kwa mwaka mmoja ni dola za Marekani Milioni 1, hii ni moja ya bajeti ndogo kabisa za jeshi duniani. Kwenye viwango vya kimataifa vya kijeshi, jeshi la Gambia linashikilia nafasi ya tisa kutokea mkiani, yaani kama dunia inapambanisha majeshi kutoka nchi 200 duniani, Gambia inashika nafasi ya 191 ikishindana na vijeshi vidogo kama Bahamas n.k.
[HASHTAG]#Unadhani[/HASHTAG] kajeshi haka katamlinda Jammeh dhidi ya "mijeshi" yenye bajeti za dola Milioni 300 hadi Dola Bilioni 3? Ukitaka kujua zaidi soma uchambuzi wangu katika Gazeti la Mwananchi kesho.
Tofautisha mapambano ya kigaidi na mapambano ya kijeshi. Kwani gaidi ni nani? Anaishi wapi?WANAMGAMBO WA OSAMA WALIKUWA 2000 TU LAKINI MMAREKANI ALIPATA TABU SANA KUMSAMBARATISHA
Kwani Talibani anatawala leo Afganistani umeshamsikia mullah Omar tena,Taliban wamebaki na Vita ya kujitoa Muhanga na kuvizia ila hawana Ubavu wa kupambana tena kwenye uwanja wa vita tit for tat.Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.
Siku zote jeshi sio vifaa au uwingi wa wapiganaji. kama huu ndio uchambuzi wako haina hata haja ya kwenda kutafuta hilo gazeti la Mwananchi.
Unaingia kwenye nchi ambayo wenyewe wanaijua. Wanajua wapi kuna milima, wapi kuna mabonde na wapi tambarare. Mbinu, mipango na mikakati iliyobora siku zote ndio silaha bora na ziletazo ushindi vitani.
ECOWAS wasipokuwa makini watarudi na aibu au kuuwa raia wasiokuwa na hatia. Alichokifanya Jammeh si uungwana ila kuingia kichwa kichwa kwa hao jamaa inaweza ikawaletea casualties nyingi sana.
Duh! Mkuu mbona unaongea kama wale vijana vwetu wa division five!Kijiographia hii gambia cjaielewa kbsa, yani ipo katikati ya senegal kwa muundo wa gulf au penisula?
Sio kwa muhuni huyu!! Dunia nzima wamemuona jinga na jeshi lililokuwa lina mpa kiburi tayari linaonekana limemtenga hapo sasa!!Tatizo La Vita Unaweza Ukazania Unapigana Na GAMBIA Kumbe Unapigana Na Nchi Nyingine Huku Ikitumia Kivuli Cha GAMBIA.
Vita mwana wa haramu. ..usombeeTatizo La Vita Unaweza Ukazania Unapigana Na GAMBIA Kumbe Unapigana Na Nchi Nyingine Huku Ikitumia Kivuli Cha GAMBIA.
Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.
Siku zote jeshi sio vifaa au uwingi wa wapiganaji. kama huu ndio uchambuzi wako haina hata haja ya kwenda kutafuta hilo gazeti la Mwananchi.
Unaingia kwenye nchi ambayo wenyewe wanaijua. Wanajua wapi kuna milima, wapi kuna mabonde na wapi tambarare. Mbinu, mipango na mikakati iliyobora siku zote ndio silaha bora na ziletazo ushindi vitani.
ECOWAS wasipokuwa makini watarudi na aibu au kuuwa raia wasiokuwa na hatia. Alichokifanya Jammeh si uungwana ila kuingia kichwa kichwa kwa hao jamaa inaweza ikawaletea casualties nyingi sana.
Kuandika kote ungeshaenda gugo ukajuaKijiographia hii gambia cjaielewa kbsa, yani ipo katikati ya senegal kwa muundo wa gulf au penisula?
Anagekuwa mtumia ndumba angeloga ashinde uchaguziECOWAS walisema muda wa huyo raisi ulikuwa unaisha usiku wa kuamkia leo na walikuwa tayari kuivamia nchi endapo Yahya Jammeh hataachia madaraka lakini huyo raisi ni mtegemea ndumba pia,maana nilisikia anaponya watu wenye maradhi mbalimbali kwa ndizi za kuiva.