Lijue Jeshi linalompa kiburi Yahya Jammeh

Lijue Jeshi linalompa kiburi Yahya Jammeh

Pale ni population ya kama milioni mbili na nchi yote imezungukwa na Senegal. Lakini kikubwa zaidi ni kuwa jamaa ameshindwa uchaguzi pamoja na vitisho kwa hiyo ni wazi hana strong ground kupigana na muungano wowote.
Kijiographia hii gambia cjaielewa kbsa, yani ipo katikati ya senegal kwa muundo wa gulf au penisula?
 
Wakigoma,ni kuwapiga mashambulizi ya kushtukiza kwenye maeneo nyeti,hapo wanapohifadhi ndege pashambuliwe ghafla kwa ndege za kivita na kuziharibu ndege zote.

Kambi za jeshi zipigwe usiku kwa ndege za kivita.

Hivyo vi boti pia vichapwe usiku na ndege za kivita.

Ambush ifanyike kama ile ya comorro pale Tanzania ilipomtoa muasi,

Operesheni ikianza saa saba usiku, SAA tano asubuhi biashara imeisha

Wanajeshi wa miguu washushwe kwa meli usiku wa manane kutoka kona zote za nchi,kisha waizingire


Waombe msaada wa Trump masaa mawili yatakuwa mengi! Tena bila kuhitaji ndege kuzurura anga ya Gambi-vitu vinarushwa toka baharini na kazi inaisha ndani ya hayo masaa.

Anyway kinachosubiriwa na Raisi Mpya aapishwe na atoe Amri ya uvamizi kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Gambia.
 
Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa jeshi la akiba. Katika jeshi ambalo liko tayari kwa vita lenye askari 1000, Kikosi cha Majini kina askari 125, cha anga kina askari 100 na Kikosi cha Ardhini askari takribani 700 huku kile cha kumlinda Yahya Jammeh kikiwa an askari 75 - 100. Jeshi la Gambia lina magari ya kivita pamoja na deraya takribani 12 na nyingi kati ya hizo ziko chini ya kikosi cha ulinzi wa Rais,".

Wana ndege sita za kivita zikiwemo Su-25 Frogfoot kutoka Georgia, Ndege mbili aina ya AT- 802A za kusafirisha vifaa vya kijeshi, ndege moja ya kivita aina ya Il-62M Classic, ndege moja ya kivita aina ya Skyban 3M na ndege moja ya kivita mahsusi kwa shughuli za ulinzi wa anga. Kwa upande wa jeshi la majini, wana boti 3 za kivita, ya kwanza ni Peterson kwa ajili ya kukagua malindo, pamoja na boti mbili ziendazo kasi ambazo zimetengenezwa nchini Hispania.

Bajeti ya jeshi la Gambia kwa mwaka mmoja ni dola za Marekani Milioni 1, hii ni moja ya bajeti ndogo kabisa za jeshi duniani. Kwenye viwango vya kimataifa vya kijeshi, jeshi la Gambia linashikilia nafasi ya tisa kutokea mkiani, yaani kama dunia inapambanisha majeshi kutoka nchi 200 duniani, Gambia inashika nafasi ya 191 ikishindana na vijeshi vidogo kama Bahamas n.k.

[HASHTAG]#Unadhani[/HASHTAG] kajeshi haka katamlinda Jammeh dhidi ya "mijeshi" yenye bajeti za dola Milioni 300 hadi Dola Bilioni 3? Ukitaka kujua zaidi soma uchambuzi wangu katika Gazeti la Mwananchi kesho.
Mkuu wewe ni Mhere Mwita wa Geita, kijana wa mzee Mwita wa Ardhi?
Nakupata sana jamaa, kiasi unajielewa, chuo ulishamaliza?
 
ECOWAS hawapendi ujinga kama EAC kwa Museven, Nkurunzinza, Kagame, Bashir. Hawaoni haibu kuitetea demokrasia. Ningekuwa na pesa ya kutosha ningehamia Ghana huku panachosha
 
Yahya Jammeh hana jeshi la kumtisha mtu, ana kajeshi ambako hakawezi kupambana na "Jeshi". Jeshi la Gambia linao wanajeshi wapatao 1000 tu ambao wanaweza kusaidiwa na kikosi cha askari 1200 wa jeshi la akiba. Katika jeshi ambalo liko tayari kwa vita lenye askari 1000, Kikosi cha Majini kina askari 125, cha anga kina askari 100 na Kikosi cha Ardhini askari takribani 700 huku kile cha kumlinda Yahya Jammeh kikiwa an askari 75 - 100. Jeshi la Gambia lina magari ya kivita pamoja na deraya takribani 12 na nyingi kati ya hizo ziko chini ya kikosi cha ulinzi wa Rais,".

Wana ndege sita za kivita zikiwemo Su-25 Frogfoot kutoka Georgia, Ndege mbili aina ya AT- 802A za kusafirisha vifaa vya kijeshi, ndege moja ya kivita aina ya Il-62M Classic, ndege moja ya kivita aina ya Skyban 3M na ndege moja ya kivita mahsusi kwa shughuli za ulinzi wa anga. Kwa upande wa jeshi la majini, wana boti 3 za kivita, ya kwanza ni Peterson kwa ajili ya kukagua malindo, pamoja na boti mbili ziendazo kasi ambazo zimetengenezwa nchini Hispania.

Bajeti ya jeshi la Gambia kwa mwaka mmoja ni dola za Marekani Milioni 1, hii ni moja ya bajeti ndogo kabisa za jeshi duniani. Kwenye viwango vya kimataifa vya kijeshi, jeshi la Gambia linashikilia nafasi ya tisa kutokea mkiani, yaani kama dunia inapambanisha majeshi kutoka nchi 200 duniani, Gambia inashika nafasi ya 191 ikishindana na vijeshi vidogo kama Bahamas n.k.

[HASHTAG]#Unadhani[/HASHTAG] kajeshi haka katamlinda Jammeh dhidi ya "mijeshi" yenye bajeti za dola Milioni 300 hadi Dola Bilioni 3? Ukitaka kujua zaidi soma uchambuzi wangu katika Gazeti la Mwananchi kesho.
Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.

Siku zote jeshi sio vifaa au uwingi wa wapiganaji. kama huu ndio uchambuzi wako haina hata haja ya kwenda kutafuta hilo gazeti la Mwananchi.

Unaingia kwenye nchi ambayo wenyewe wanaijua. Wanajua wapi kuna milima, wapi kuna mabonde na wapi tambarare. Mbinu, mipango na mikakati iliyobora siku zote ndio silaha bora na ziletazo ushindi vitani.

ECOWAS wasipokuwa makini watarudi na aibu au kuuwa raia wasiokuwa na hatia. Alichokifanya Jammeh si uungwana ila kuingia kichwa kichwa kwa hao jamaa inaweza ikawaletea casualties nyingi sana.
 
WANAMGAMBO WA OSAMA WALIKUWA 2000 TU LAKINI MMAREKANI ALIPATA TABU SANA KUMSAMBARATISHA
Tofautisha mapambano ya kigaidi na mapambano ya kijeshi. Kwani gaidi ni nani? Anaishi wapi?
 
IVI HUKU NDO KULE KUNA CHUO KIKUU KIMOJA TUU?
HALAFU GEOGRAFIA INASEMA NDO WAKWANZA KUZALISHA KARANGA AFRIKA SIYO

Hii inaonesha ni Jinsi gani Viongozi wako kwa maslahi yao binafsi yani Sanduku la kura linasema Mpinzani wako kashinda halafu wewe unapindua matokeo

Damu za Wasio na hatia(Watoto,Wamama,Vijana,Wazee) hawazionei huruma yani mtu moja anatesa mamia ya watu kwa ajili ya Heshima ya duniani.

Tufike mahali tuseme inatosha kumwaga damu za watu wasio na hatia na kuongeza idadi ya wakimbizi tu
 
Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.

Siku zote jeshi sio vifaa au uwingi wa wapiganaji. kama huu ndio uchambuzi wako haina hata haja ya kwenda kutafuta hilo gazeti la Mwananchi.

Unaingia kwenye nchi ambayo wenyewe wanaijua. Wanajua wapi kuna milima, wapi kuna mabonde na wapi tambarare. Mbinu, mipango na mikakati iliyobora siku zote ndio silaha bora na ziletazo ushindi vitani.

ECOWAS wasipokuwa makini watarudi na aibu au kuuwa raia wasiokuwa na hatia. Alichokifanya Jammeh si uungwana ila kuingia kichwa kichwa kwa hao jamaa inaweza ikawaletea casualties nyingi sana.
Kwani Talibani anatawala leo Afganistani umeshamsikia mullah Omar tena,Taliban wamebaki na Vita ya kujitoa Muhanga na kuvizia ila hawana Ubavu wa kupambana tena kwenye uwanja wa vita tit for tat.

Ya Gambia ni kama yale ya Visiwa vya Comoro(Anjuani) Operation Amphibia mpka Ecowas wanaenda kuatack wanajua kila kitu kuhusu Gambia.

Hakuna Tofauti na yule Jama wa Ivorycoast aliyengangania mwisho wake akaja kutolewa kwa mtutu wa bunduki
 
Kijiographia hii gambia cjaielewa kbsa, yani ipo katikati ya senegal kwa muundo wa gulf au penisula?
Duh! Mkuu mbona unaongea kama wale vijana vwetu wa division five!
Unawezaje kuingia jf na kuandika kitu ukashindwa kuigoogle ramani na kuiona Gambia ilivyo na Senegal! Kwa kifupi na kama Lesotho na South Africa tofauti yenyewe ina kaupenyo ka bahari.
 
Gambia nao ni jipu lingine

hua nashangaa nao wanakuaga mstari wa mbele kutoa wanajeshi wao katika missions za AU na UN za kulinda amani, kuna kipindi jamaa alitoa wanajeshi 200 kwa AU na 100 UN, sasa jeshi lenye wanajeshi buku afu unachangia wanajeshi 300 kwenda kulinda amani

only in Gambia!!
 
Tatizo La Vita Unaweza Ukazania Unapigana Na GAMBIA Kumbe Unapigana Na Nchi Nyingine Huku Ikitumia Kivuli Cha GAMBIA.
Sio kwa muhuni huyu!! Dunia nzima wamemuona jinga na jeshi lililokuwa lina mpa kiburi tayari linaonekana limemtenga hapo sasa!!
 
Marekani ana Bajeti kubwa kuliko Wote Duniani na Kamshindwa Taliban huko Afghanistan kakikundi hata Bajeti ya wapiganaji wao hawana.

Siku zote jeshi sio vifaa au uwingi wa wapiganaji. kama huu ndio uchambuzi wako haina hata haja ya kwenda kutafuta hilo gazeti la Mwananchi.

Unaingia kwenye nchi ambayo wenyewe wanaijua. Wanajua wapi kuna milima, wapi kuna mabonde na wapi tambarare. Mbinu, mipango na mikakati iliyobora siku zote ndio silaha bora na ziletazo ushindi vitani.

ECOWAS wasipokuwa makini watarudi na aibu au kuuwa raia wasiokuwa na hatia. Alichokifanya Jammeh si uungwana ila kuingia kichwa kichwa kwa hao jamaa inaweza ikawaletea casualties nyingi sana.

Ukweli Jamey hawezi kufua dafu kwa ECOMOG.
Kwanza wananchi wengi wa Gambia hawamtaki hivyo watawasaidia majeshi ya ECOWAS.
Vita yaTALIBAN ni Tofauti sana na ya GAMBIA.
Siku zote ukiwa Dikteta jiandae kutolewa kidikteta.
 
From wikipedia

Screenshot_20170119-145340.png
 
ECOWAS walisema muda wa huyo raisi ulikuwa unaisha usiku wa kuamkia leo na walikuwa tayari kuivamia nchi endapo Yahya Jammeh hataachia madaraka lakini huyo raisi ni mtegemea ndumba pia,maana nilisikia anaponya watu wenye maradhi mbalimbali kwa ndizi za kuiva.
Anagekuwa mtumia ndumba angeloga ashinde uchaguzi
 
Back
Top Bottom