Lijue Kabila la Waluguru na utamaduni wao

Lijue Kabila la Waluguru na utamaduni wao

Baba yangu tukiwa kwetu Mwanza aliniambia Waluguru ndiyo viumbe warefu kuliko wote Tanzania. Eti ni kweli?
ha ha haa,,,,....! ni kweli siye ma tall, wasukuma wanatambua hilo mbona..! halafu sio waongeaji sana, siye wapole sana ngosha
 
Ila watani za waluguru wabishi.huwa mnanifurahisha na kibwagizo chenu cha bhaa au khaaa!!!
ha ha haa...! sisi sio wabishi, sema watu wanatusema vibaya, maana maneno kdogo utasikia mluguru huyo, umesahau kibwagizo cha MWEEEH, jaaaah.....! au nyaruwela salambwe
 
ha ha haa,,,,....! ni kweli siye ma tall, wasukuma wanatambua hilo mbona..! halafu sio waongeaji sana, siye wapole sana ngosha
Tehe tehe...ila nilisikia stori moja. Walikuwa wanaeleza kwa nini Waluguru hawakupelekwa utumwani.

Mkoloni alipofika Morogoro akawa anawapima Watumwa. Unavaa gunia miguuni halafu unakimbia.

Waluguru wakawa wakiingia kwenye gunia wanazama!!! Mkoloni akaona hawa hawanifai

Ila nilihadithiwa tu!!
 
Tehe tehe...ila nilisikia stori moja. Walikuwa wanaeleza kwa nini Waluguru hawakupelekwa utumwani.

Mkoloni alipofika Morogoro akawa anawapima Watumwa. Unavaa gunia miguuni halafu unakimbia.

Waluguru wakawa wakiingia kwenye gunia wanazama!!! Mkoloni akaona hawa hawanifai

Ila nilihadithiwa tu!!
...ha ha haaa, hiyo hatari (umeamua kututania sasa mtani), ila nijuavyo kabila zote za pwani (waluguru, wakwere, wakutu, wasambaa, wazaramu n.k..) utumwa uliwapitia mbali kwa sababu walikuwa wajanja wajanja, hawakuwa watu wakutii bila kuhoji, na pia walijenga undugu na wakoloni, ila ma tall tupo wengi, mimi nilienda pale buhongwa mwanza, nikawa nawatazama wasukuma nawaona wadogo dogo tu, ila uluguruni warefu wapo wa kumwaga, karibu matombo/ dutumi kibaha uwaone
 
Hata Mimi mluguru, mrefu wa kutosha tu!
 
kumbe mwawengi amno! mleke itabia yenu ya kutsopata...hhhhhh....
 
kumbe mwawengi amno! mleke itabia yenu ya kutsopata...hhhhhh....
Haaaah. Haaaah. Haaaah. KUTSOPATA! KASOSENGA! KAZORINGA! Nzala! Nzala! Nzala!
 
Mluguru ni baba
Mtemi wao anaitwa pazi
huyu pazi alikuwa na watoto watano
Watoto watatu walikuja kutafuta maisha dar
Wakafikia Mlandizi sehemu moja inaitwa yombo pale wakagawanyika mmoja akaenda Bagamoyo mjini,
Na mwingine akaenda kisarawe
Na mwingine akaenda mbwewe..
Kule nyumbani Morogoro wakaja wabena kutaka kupigana vita na pazi
Pazi akamwambia mbena wanangu wamezomoka
Wazaramu ( wamezomoka) yaani ni kama wakimbizi kutoka moro
Na yule aliyekwenda mbwewe akajihita ni mzigura.... Maana yake amekwenda kule akapindua baadhi ya mila za kwao Morogoro..tutaendelea toleo lijalo.
 
Niko Msibani, Jamaa yangu kaoa Mluguru, sasa Mke kafariki. Wakwe wametoka Morogoro wamekuja kuchukua mwili wa Mtoto wao wakazike kwao.
Huku Mme na watoto wanataka azikwe Dar huku.
Tuko kwenye kikao
Tunaombea tu Mme na watoto washinde
 
Back
Top Bottom