Lijue Kabila la Waluguru na utamaduni wao

Lijue Kabila la Waluguru na utamaduni wao

Uislam unaruhusu Wazazi wa Mke kuamua Bint yao azikwe wapi!
Niko Msibani, Jamaa yangu kaoa Mluguru, sasa Mke kafariki. Wakwe wametoka Morogoro wamekuja kuchukua mwili wa Mtoto wao wakazike kwao.
Huku Mme na watoto wanataka azikwe Dar huku.
Tuko kwenye kikao
Tunaombea tu Mme na watoto washinde
 
Kwa nini mila zenu ukioa unapewa kiwanja ukweni ujenge uishi na mkeo? Na wakati mwingine unaweza hata kuishi hapo hapo kwa wakwe na mkeo? Nimeyashuhudia haya.
Huwezi ukahamisha ukoo wende kwa baba!
Mkiachana utaondoka kama ulivyokuja!
 
Back
Top Bottom