Lijue soko la HISA

Lijue soko la HISA

Habarini wana jukwaa, leo nimejiskia kuandika kuhusu soko la hisa kwa hapa Tanzania. Nimeona baadhi ya watu walikua wakiuliza sasa si vibaya hata wakapata kufahamu ni kitu gani hichi. Huu utakuwa ni mwendelezo wa zile mada zangu za uwekezaji kwenye dhamana za serikali (treasury bond + bills)

Asanteni sana, nawatakia uwekezaji mwema
Vince Forum
Mkuu mimi swali langu nauliza hizo treasury bond na bills dhamana yake ni ya muda gani...na minimal amount ya kuzinunua ni kiasi gani na unaweza kuwatumia pia madalali wa stock exchange pia..???.msaada tafadhali
 
Screenshot_2020-09-26-10-52-18.png

Where the big fish invested their money
 
Somo zuri Sana.....ni muhimu kwa watanzania kuwekeza kwa manufaa ya sasa na baadae
 
Back
Top Bottom