Lijue soko la HISA

Mkuu mimi swali langu nauliza hizo treasury bond na bills dhamana yake ni ya muda gani...na minimal amount ya kuzinunua ni kiasi gani na unaweza kuwatumia pia madalali wa stock exchange pia..???.msaada tafadhali
 
Somo zuri Sana.....ni muhimu kwa watanzania kuwekeza kwa manufaa ya sasa na baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…