Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #61
Ume-copy mahali!Wanafunzi wenzangu walikuwa haweshi kunionea gere. Waliposikia kwamba nilikuwa kikojozi, nalowesha matandiko usiku na kukijaza chumba harufu mbaya, (na nafikiri Malkia Maube ndiye aliyewatobolea siri) wakaniimbia, “Kindumbwendumbwe charia, Kikojozi kakojoa, na nguo kazitia moto!”
Mabezo yao yasiyoisha na hisia zangu za kujihisi dhalili vilinipandisha Ibilisi wangu hasira aliyekuwa kanionya mama kumhusu....................
Aisee!!Mmh hapana asee wewe Jane umekulia Tz kabisaaa tena nahisi mzazi wako mmoja ni Mtz kabisaaa. Haiwezekani hadi "kindumbwendumbwe" wakijua. Wakenya nawafahamu na Kiswahili chao cha "kukula chakula" lakini wewe huna tofauti na mdada wa Kinyamwezi Tabora Itetemya.
Tena Kiswahili chako umemzidi kidogo Mk254 yeye ana Kiswahili flani hakija lainika/hakina vilainishi kama chako. Nahisi wewe ni chotara Mtz/Mkenya.
Umeombwa "source" umekimbia, ninyi wakenya ni watu wa hovyo sana, akili zenu ni ndogo sana, unadhani unaweza kutudanganya wakati uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo?, kama mnadanganywa na wanasiasa wenu na kuwaibia, huwezi kutudanganya wa bongo. Hivi mna akili kweli ninyi?Unapenda sana ligi za kitoto Geza.Hii ilikuwa 59th graduation ceremony ya UoN, Phds from the Kiswahili Department. Jihesabie vichwa wewe mwenyewe.
Acheni ujinga, lazima mdanganye katika kila kitu, failed state ninyi.Tomato sauce
Lete "source "uliyoombwa. Kila kitu mnadanganya, stupid.Una dhiki sana wewe mzee. 61st graduation ceremony ya UoN ilikuwa mwaka huu wa 2019. Ukiangalia address ya hiyo image inasoma 59th graduation ceremony-2017. Acha nikuache na majungu yako.
Sijasoma kitabu chochote cha mtanzania,nikiwa primary nilisoma ken walibora na wala bin wala wote wakenya ,high school pia waandishi wa vitabu nilivyovisoma wote wakenya including tamthilia.Not when u have a Tanzanian as the most selling author in Kiswahili literature in Kenya aside the fact the guy that wrote ur KCPE swahili syllabus. Ur argument defeats logic.
BTW do u have a swahili that u call Kenyan when most of ur higher learning institutions embrace the Tanzanian literature maestros! The likes of Kezilahabi! It will take at least a century till u put sheng in writtings.
The teacher who became Kenya’s highest earning author
In Kajiado North Constituency, there is a place where the Ngong Hills casts its shadows on a small town called Matasia. In the town is found the home of probably its most illustrious resident.www.nation.co.ke
Stupidity at its best.Acha ujinga wewe mgikuyu!
Kiswahili hakikuwahi kuwa na chimbuko toka Kenya!
Kilicholetwa ni muunganiko wa lugha fulani za kibantu zilizopita Congo zikakatiza pwani ya Kenya kisha zikatua Tanganyika ya kipindi hicho!
Lugha hizo za kibantu zilipofika Tanganyika zikachanganyika na msamiati kiduchu wa Kiarabu ndipo kikazaliwa kitu kinaitwa "Kiswahili" [swahil`].
Miaka yote hiyo Kiswahili kikazidi kukua na kustawi kikiwa hapa hapa Tanzania. Kikakua na kuboreshwa kwa kasi kubwa!
Ndio maana huko kwenu Kenya mmebaki na makapi ya lugha za kibantu yaliyotoka Congo ambayo eti mnayaita 'Kiswahili'.
Kiswahili kimezaliwa na kukua Tanzania!
A person has a choice to choose which language to use ,some Kenyans prefer English to Swahili and that can not stop the fact that Swahili originated from pate island in lamu .Wakenya wengi wana jisikia aibu kuongea kiswahili kwa kuwa wanaisi mapungufu katika lugha wanayo izungumza...
Wana wasifia wamombasa kuwa wana ongea kiswahili kizuri kuliko wakenya wengi...
Hata umkute na digrii au masters kichwani lakini kiswahili kina wapiga chenga... Mfano ni humu wana jisifia kiswahili lakini lugha wanayo itumia muda mwingi ni kizungu kwa kuwa kiswahili wana mapungufu nacho na kiswahili chao ni cha kujifunza darasani tofauti na watanzania walio wengi huku tukitofautiana lafudhi kutokana na makabila tuliyo NAYO...
Bila kumsahau marehemu Ali mazurui , Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema akhera,mchango wake Kwa lugha yetu hii tamu ya Kiswahili hauwezi ukasahaulika,by the way naomba mchango wenu Mimi na rafiki zangu tupo tunaandika kitabu cha Kiswahili ambacho kitatumika marekani na Caribbean Kwa ajili ya kuwafunza blacks hii lugha yetu tamu ,napokea michango kutoka pande zote.Also the late Prof Sheikh Ahmed Mohamed Nabhany alifunza Kiswahili hio University of Dar
Sijasoma kitabu chochote cha mtanzania,nikiwa primary nilisoma ken walibora na wala bin wala wote wakenya ,high school pia waandishi wa vitabu nilivyovisoma wote wakenya including tamthilia.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
His parents were Kenyan , that makes him a Kenyan and that is why he was a civil servant in Kenya.Was born, raised n educated in Tanzania. A product of tanzania. Birth certificate from Tanzania! He even uses twiga a Tanzanian national iconic animal on all legal tenders.
View attachment 1242756
View attachment 1242757
Hahahaha!. kindumbwendumbwe ni hatari sanaWanafunzi wenzangu walikuwa haweshi kunionea gere. Waliposikia kwamba nilikuwa kikojozi, nalowesha matandiko usiku na kukijaza chumba harufu mbaya, (na nafikiri Malkia Maube ndiye aliyewatobolea siri) wakaniimbia, “Kindumbwendumbwe charia, Kikojozi kakojoa, na nguo kazitia moto!”
Mabezo yao yasiyoisha na hisia zangu za kujihisi dhalili vilinipandisha Ibilisi wangu hasira aliyekuwa kanionya mama kumhusu....................
with Tanzanian birth certificate!His parents were Kenyan , that makes him a Kenyan and that is why he was a civil servant in Kenya.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app