pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Unapenda sana ligi za kitoto Geza.
Hii ilikuwa 59th graduation ceremony ya UoN, Phds from the Kiswahili Department. Jihesabie vichwa wewe mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda sana ligi za kitoto Geza.Hii ilikuwa 59th graduation ceremony ya UoN, Phds from the Kiswahili Department. Jihesabie vichwa wewe mwenyewe.![]()
Kuna option ya mwisho, wanaweza wakajinyonga pia. Nyangau hapana tambua. [emoji1] Hawa jamaa sijui wanatubebaje, hili ni jukwaa la Kenya. Propaganda za chama chao wazipeleke kule Chato, wajue huku watu hajawabebewa akili zao .Dah! Wewe jamaa kiboko, hawa Watz hawana hamu nawe.
Source?Unapenda sana ligi za kitoto Geza.Hii ilikuwa 59th graduation ceremony ya UoN, Phds from the Kiswahili Department. Jihesabie vichwa wewe mwenyewe.![]()
Hahahahaaaa, ndio tatizo la mtu kujifanya anajua kila kitu. Yaani hapo hawawezi kumkataa maana ni mwanafunzi wao toka diploma mpaka PhD. Kwanza kusoma shahada tatu katika chuo kimoja sio jambo zuri. Ni msomi mzuri katika fani yake, tatizo ni pale anapoibukia nyanja ambazo hana uelewa mpana hasa uchumi na sayansi ya siasa.Boss, una uhakika kwamba unataka ushahidi wa Phd holder kutoka UDSM akisema kwamba Ghadaffi alikuwa rais wa Yemen? Mara ya mwisho nilipopost hiyo video hapa Jf ilifungwa kwa muda. Itisha tena uone nikichomoa betri. [emoji38]
Nyie wenye kiswahili mlifundishwa matumizi ya tafsida kwa somo la fasihi maana yale matusi huwa mnanitukana huwa nawashangaa sana.wewe Mwanamke unapenda uchokozi, wakikutukana humu unaanza kung’aka,
Kueneza na Kukuza r relative context have nothing with waving proficiency! Alliance Français wana fundisha pia kifaransa na wana mitihani ya Proficiency pia!Kama huo mtihani wa Kiswahili proficiency madhumuni yake ni kueneza na kukuza Kiswahili kinyume na yale ya TOEFL na IELTS, hakuna atakayefanya huo mtihani.
Nani akutukane wewe!? Tatizo lako ni kulialia. Ukiguswa kidogo tu unaaza kupayuka. Weka kichwani kuwa mtenda hutendwa. Ukiongea mbovu mbovu kwa mtu ukipewa za uso vumilia. Huo ndio ukomavu.Nyie wenye kiswahili mlifundishwa matumizi ya tafsida kwa somo la fasihi maana yale matusi huwa mnanitukana huwa nawashangaa sana.
I don't feel bad when you people insult me otherwise ningeshatoka humu kitambo. I've never been afraid of sadists
Cc babayao255 Venus Star
Wewe umewahi ona nikitukanana au nikilialia sababu ya kutukanwa? Nyinyi huwa mnanitukana mkibanwa sana na hoja za watu humu. Ili kujifariji na kuondoa aibu huwa mnanimwagia matusi & when I retaliate you play the victims naishia kulishwa ban n u don'tNani akutukane wewe!? Tatizo lako ni kulialia. Ukiguswa kidogo tu unaaza kupayuka. Weka kichwani kuwa mtenda hutendwa. Ukiongea mbovu mbovu kwa mtu ukipewa za uso vumilia. Huo ndio ukomavu.
Kuwa na adabuNyie wenye kiswahili mlifundishwa matumizi ya tafsida kwa somo la fasihi maana yale matusi huwa mnanitukana huwa nawashangaa sana.
I don't feel bad when you people insult me otherwise ningeshatoka humu kitambo. I've never been afraid of sadists
Cc babayao255 Venus Star
Wewe shosho nakujua sana tabia yako ya kuongea mbovu kwa watu ukijibiwa mbovu unaanza kulia lia,Wewe umewahi ona nikitukanana au nikilialia sababu ya kutukanwa? Nyinyi huwa mnanitukana mkibanwa sana na hoja za watu humu. Ili kujifariji na kuondoa aibu huwa mnanimwagia matusi & when I retaliate you play the victims naishia kulishwa ban n u don't
Hizi Adverts zimeisha sasa. Leta point tukuone kama kichwa kimekaa vizuri.Wewe umewahi ona nikitukanana au nikilialia sababu ya kutukanwa? Nyinyi huwa mnanitukana mkibanwa sana na hoja za watu humu. Ili kujifariji na kuondoa aibu huwa mnanimwagia matusi & when I retaliate you play the victims naishia kulishwa ban n u don't
Umeanza shobo sasa
Mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.
Source?
Unapenda sana ligi za kitoto Geza.Hii ilikuwa 59th graduation ceremony ya UoN, Phds from the Kiswahili Department. Jihesabie vichwa wewe mwenyewe.![]()
Source?