Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Shule za msingi na sekondari zimefungwa. Lakini kwa sasa, baadhi ya mashule, yanalazimisha wanafunzi, hasa walio kwenye madarasa ya mitihani, warudi shule "kwa masomo ya ziada".
Wanapuuza, amri/maelekezo/ushauri toka mamlaka husika kwamba wanafunzi wawe likizo kuanzia tarehe fulani hadi fulani. Likizo ya Pasaka wameifanya imekuwa geresha tu.
/Rant
Wanapuuza, amri/maelekezo/ushauri toka mamlaka husika kwamba wanafunzi wawe likizo kuanzia tarehe fulani hadi fulani. Likizo ya Pasaka wameifanya imekuwa geresha tu.
/Rant