Pre GE2025 Likizo inaisha lini?

Pre GE2025 Likizo inaisha lini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
πŸ˜€ nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengineπŸ˜€
Karibu sana bro makande hujaja nayo toka upareni 🀣🀣🀣
Makande yameisha ila tunguli kama zote,πŸ˜‚
Mkuu mshana karibu tena kutoka kwenye likizo yako.
Unamaanisha tetesi au breaking news ya R-Chuga.
Shukrani mkuu
Karibu tena ankali Mshana Jr tulikumis kwenye uzi pendwa hebu selfika kwanza
β€β€β€πŸ™πŸΎ
 

Attachments

  • 20240728_165532.jpg
    20240728_165532.jpg
    32.9 KB · Views: 8
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❀❀❀much loveπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
🀣

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
πŸ˜€ nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengineπŸ˜€
Karibu sana bro makande hujaja nayo toka upareni 🀣🀣🀣
Makande yameisha ila tunguli kama zote,πŸ˜‚
Mkuu mshana karibu tena kutoka kwenye likizo yako.
Unamaanisha tetesi au breaking news ya R-Chuga.
Shukrani mkuu
Karibu tena ankali Mshana Jr tulikumis kwenye uzi pendwa hebu selfika kwanza
β€β€β€πŸ™πŸΎView attachment 3055299
 
Ulipokuwa likizo, wamepotea sana albino, vichanga na watu wazima, pia Rc wa R haijulikani alipo,

Unayaongeleaje mambo hayo!!?
 
Wala hakuna aliyekua anajua kama ulikua likizo au hukua likizo zaidi ya hao chawa wako tu wanakuabudu,acha kujipa umuhimu usiokua nao,huna impact yeyote hapa zaidi ya kujaza server za JF kwa mada za kishirikina tu.

Umerudia kwenye zile zile mada zako za kufikirika,huna jipya.
Hiyo ni Code fulani. Kwa wasio makini wataitafsiri ndivyo sivyo.
 
Siku hizi kuna sheria mpya kwa wanaume kupata likizo kama ya mwanamke mtumishi wa umma kupata likizo ya uzazi kwahyo ata mme wake naye anapata haki sawa kama mke wake.Nawaza mke wa RC isije kuwa ana likizo ya uzazi miezi mitatu ikawausu wote.
Inaitwa paternity leave, ni likizo ya siku 3 tu kwa baba aliyepata mtoto. Sio sheria mpya ni ya muda ni wewe tu umechelewa kufahamu
 
Wala hakuna aliyekua anajua kama ulikua likizo au hukua likizo zaidi ya hao chawa wako tu wanakuabudu,acha kujipa umuhimu usiokua nao,huna impact yeyote hapa zaidi ya kujaza server za JF kwa mada za kishirikina tu.

Umerudia kwenye zile zile mada zako za kufikirika,huna jipya.
Ni mjinga pekee tu ndie anaweza kusema hayo uliyosema, nani asiyemjua mshana? nani ambaye hakujiuliza mshana kimempata nn mbona haonekani jukwaani, tena kwa taarifa yako huyu mwamba ana impact humu kama asipoonekana.
 
Ni mjinga pekee tu ndie anaweza kusema hayo uliyosema, nani asiyemjua mshana? nani ambaye hakujiuliza mshana kimempata nn mbona haonekani jukwaani, tena kwa taarifa yako huyu mwamba ana impact humu kama asipoonekana.
Wewe ni mchepuko wake? Naona shipa limekusimama kumtetea! Utafanya nianze kukutilia mashaka.
 
Ulipokuwa likizo, wamepotea sana albino, vichanga na watu wazima, pia Rc wa R haijulikani alipo,

Unayaongeleaje mambo hayo!!?
No comment πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
Ulipokuwa likizo, wamepotea sana albino, vichanga na watu wazima, pia Rc wa R haijulikani alipo,

Unayaongeleaje mambo hayo!!?
No comment πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸƒπŸΏ
Ni mjinga pekee tu ndie anaweza kusema hayo uliyosema, nani asiyemjua mshana? nani ambaye hakujiuliza mshana kimempata nn mbona haonekani jukwaani, tena kwa taarifa yako huyu mwamba ana impact humu kama asipoonekana.
Haters wana akili fupi kimo cha mbilikimo
 
Back
Top Bottom