Pre GE2025 Likizo inaisha lini?

Pre GE2025 Likizo inaisha lini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
puguza stress... Fanya mazoezi ya viungo, jipe muda wa kupumzika lala masaa 7 walau kwa siku, kula chakula bora na si bora chakula, kunywa maji mengi yale safi na salama walau lrt mbili kwa siku hali hiyo itaondoka taratibu utakuwa safi kama umezaliwa upya!
Huu ndio ule ushauri uliopewa na daktari wako ulipopatwa na ule ukichaa ambao bado haujapona vizuri mpaka sasa?
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.❤
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.[emoji173]

Kama huna D 2 hauwezi elewa[emoji106]
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
😆😆😆😆 Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa..!👌🏿
Sijasoma kilichoandikwa ila karibu tena jukwaani Mlozi mwandamizi.
😂😂😂🙏🏾🙏🏾
Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
😂😂 nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❤❤❤much love🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
😂😂😂
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
😀 nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengine😀
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.❤
Karibu Sana Mkuu!
Mchambuzi wa Mambo Magumu Hapa Jf

Kuhusu Likizo Tunahesabu Zimebaki Siku 20 tu
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
😆😆😆😆 Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
😂😂 nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❤❤❤much love🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
😂😂😂
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
😀 nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengine😀
Karibu sana bro makande hujaja nayo toka upareni 🤣🤣🤣
Makande yameisha ila tunguli kama zote,😂
 
Wala hakuna aliyekua anajua kama ulikua likizo au hukua likizo zaidi ya hao chawa wako tu wanakuabudu,acha kujipa umuhimu usiokua nao,huna impact yeyote hapa zaidi ya kujaza server za JF kwa mada za kishirikina tu.

Umerudia kwenye zile zile mada zako za kufikirika,huna jipya.
Mkuu kabla hujafanya "personal attack" kwa mtoa mada. Je! Umeielewa mantiki ya nukuu ya maneno yaliyopo katika hitimisho lake?

" ,..likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya
1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news..."
 
Mkuu kabla hujafanya "personal attack" kwa mtoa mada. Je! Umeielewa mantiki ya nukuu ya maneno yaliyopo katika hitimisho lake?

" ,..likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya
1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news..."
Wewe ndio hujaelewa mada,umeisoma first paragraph yake lakini? halafu hapo hakuna personal attack yeyote ,huo ndio ukweli wenyewe ambao chawa wake hamuwezi kuukubali,

Mimi sijacomment kwa hilo unalodai kua ni hitimisho lake,sijajadili kuhusu yeye kumsema RC ambaye anadaiwa kua yupo likizo,nimeielewa mada yote kuliko wewe uliyejikita kuelewa kwenye hitimisho lake tu.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.❤
Mkuu mshana karibu tena kutoka kwenye likizo yako.
Unamaanisha tetesi au breaking news ya R-Chuga.
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
😆😆😆😆 Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
😂😂 nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❤❤❤much love🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
😂😂😂
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
😀 nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengine😀
Karibu sana bro makande hujaja nayo toka upareni 🤣🤣🤣
Makande yameisha ila tunguli kama zote,😂
Mkuu mshana karibu tena kutoka kwenye likizo yako.
Unamaanisha tetesi au breaking news ya R-Chuga.
Shukrani mkuu hayo mengine mkuu NO COMMMENT😂
 
Nimerudi salama boss tupo pamoja

Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
😂😂 nitakuja na Uzi wa amphibia

Sio laana tuu na gund

Ni mimi mwenyewe kabisa

❤❤❤much love🙏🏾🙏🏾🙏🏾

🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾



😂😂😂

Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi

😀 nimechagua 'the most common'

Mimi nimerejea tusubiri wengine😀

Makande yameisha ila tunguli kama zote,😂

Shukrani mkuu hayo mengine mkuu NO COMMMENT😂
Sawa mkuu
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Pia soma:
Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.❤
Likizo ya kutafuta viwezeshi vya ushindi wa uchaguzi, natumai umefanikiwa kiasi japo si haba.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tanganyika huru. Nilikuwa mapumziko ya likizo ndefu nimerejea tena jukwaani na hii ndio mada yangu ya kwanza.

Kwa sheria na kanuni za Kazi duniani kote kila mfanyakazi anastahili mapumziko ya likizo ya mwezi mmoja katika miezi 12 ya mwaka.

Hili ni takwa la kisheria ndio maana hata marais hustahili hii likizo na uma hutaarifiwa rasmi kuhusu mapumziko ya rais. Kuna baadhi ya watumishi hasa wanaopenda sana kutumia mitandao ya kijamii, hupenda kutoa taarifa kwa kila wafanyacho ikiwepo mapumzikoni likizoni.

Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

Kama kipindi Hicho cha likizo hawajasafiri kwenda popote, kijijini ama nje ya nchi kulingana na ukwasi ni ngumu kuona mitupio na selfie za kutosha.

Lakini kama wametoka nje mbali na eneo la Kazi kuselfika na kutupia mapichapicha ni jambo lisilo epukika na kwakuwa siku hizi camera tunatembea nazo lazima ushawishike. Kuna kipindi wakati wa mapumziko ya likizo Hayati mwendazake alitupia mapichapicha akiwa kapumzika kwenye miamba na majabali.. Nadhani alikuwa anayapenda sana mawe ndio maana hata akajiita jiwe!

Pia soma: Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Likizo ni wakati wa kupumzisha mwili na akili lakini pia ni wakata wa ku 'refresh mind' kwa bata za hapa na pale.. Ni katika kipindi hiki lazima tu utashawishika kutupia matukio mitandaoni..! Hasa kwa wale addicted.

Ukiwa mapumziko ya likizo na ukajikataa kabisa kutoonekana popote hasa kama wewe ni mpenda sifa ni uthubutu wa hali ya juu mno na lazima jamii inayokujua vena ikushangae sana na kutengeneza mijadala mingi

Anaway likizo ya kisheria ni wiki nne! Zikiisha hizi hujarudi kibaruani ni aidha kati ya haya mawili

1. Kuzidisha tetesi
2. Breaking news

Bado tunahesabu siku.. Tuupe muda wakati.

Good morning Tanganyika.❤
mkuu Mshana Jr
 
Good morning to you boss, uli miss ka sana.
Tunakukaribisha tena.
Nimerudi salama boss tupo pamoja
😆😆😆😆 Karibu tena bhana
Kama kawa kama dawa.. Karibu Tena ndugu mshana karibu kwenye kilinge cha waganga wa Simba SC club inabidi mfanye sana ulozi mwaka huu msiwe wa tatu kwenye ligi adios amigos @Cc ephen_ View attachment 3054751
😂😂 nitakuja na Uzi wa amphibia
Sema tena jezi za Yanga zina laana
Sio laana tuu na gund
Tunaojua kusoma tabia za watu...

Aliyeandika hapa si mshana...

Kama ni yeye, lipo jambo.
Ni mimi mwenyewe kabisa
Karibu sana Mshana Jr jf ilikumiss
❤❤❤much love🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Afadhali nimekuona, nilidhani kutokuonekana kwako muda mrefu huenda ni mmojawapo wa member walioaga dunia kumbe uko hai. Safi sana, tupe madini yako tuliyoyakosa kwa kipindi upo mapumzikoni yametokea mengi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

sema ulivamia kambi wakakusweka kilingeni
😂😂😂
Karibu tena bwashee. Watu walikuwa na hofu sana kwa kupotea kwako jukwaani!
Nipo salama mkuu na nimepanda daraja baada ya kuhitimu na kufaulu kozi ya juu zaidi
Mzee baba kuna aina nyingi ya likizo hii umeitaja ni aina moja ambayo ni annual leave...

Nyingine ni SICK LEAVE, compassionate leave, maternity leave n.k
😀 nimechagua 'the most common'
Nimeleewa fasihi lkn pia na wewe umepotea sana hapa Jukwaani.
Mimi nimerejea tusubiri wengine😀
Karibu sana bro makande hujaja nayo toka upareni 🤣🤣🤣
Makande yameisha ila tunguli kama zote,😂
Mkuu mshana karibu tena kutoka kwenye likizo yako.
Unamaanisha tetesi au breaking news ya R-Chuga.
Shukrani mkuu
Karibu tena ankali Mshana Jr tulikumis kwenye uzi pendwa hebu selfika kwanza
❤❤❤🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Back
Top Bottom