Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
Mkuu kila la heri...tunakutakia mapumziko mema na yenye furaha.mzee wa mia na wengine wamekusikia..hivi ndio umewaaga hivyo wenyeji wa unako brush viatu?....:A S-coffee:
Sijui amemwacha nani kijiweni. Bado sijajua nita brush wapi kipindi uwepo wake utakapohamia mby!
Kaaaaz kwel kwel.......