Likoni: Mombasa Gate Bridge: First Cable Stayed Bridge in Kenya & Longest in Africa

Likoni: Mombasa Gate Bridge: First Cable Stayed Bridge in Kenya & Longest in Africa

Likoni imekuwa kulikoni? Bridge.

Mtu mmoja aliwahi kufundisha maana ya work kwa mfano akasema,
Hivi mtu akipewa mwanamke akenda akakaa nae chumbani kimya masaa sita.
Halafu mwingine akaenda na yule mwanamke nusu saa tu mwanamke akaanza kusikika akigugumia na kulalamika.
Nani atakuwa amefanya kazi hapo!?
If you know?......
 
Huu ni uongo mtupu. The first cable stayed bridge in east africa was masalani bridge in Kenya built in 2007.
nop the first cable stayed bridge east Africa is in tanzania....kirumi bridge connect musoma sirari
 
Huu ni uongo mtupu. The first cable stayed bridge in east africa was masalani bridge in Kenya built in 2007.
Hili ni footbridgde for pedestrians n donkeys sio?

main_masalani_bridge.jpg


Actually this is a suspension foot bridge n not cable stayed bridge!

Linakaa defunct!
a-bridge-on-tana-river.jpeg
 
Hili ni footbridgde for pedestrians n donkeys sio?

main_masalani_bridge.jpg


Actually this is a suspension foot bridge n not cable stayed bridge!

Linakaa defunct!
a-bridge-on-tana-river.jpeg
That bridge is functional and it's used by both pedestrians and vehicles.
 



EmnGR-bU8AY1QUV



EmnGR-XVkAA5AGV



EmnGR-ZVgAAXiUu



EmnGR-YUcAALuGu




MY TAKE

Hivi Likoni bridge ujenzi unaanza lini? Tanzanite bridge liko 57% na wanalaza concrete slabs sasa!

CC: Tony254

ujenzi unaanza mwaka ujao...everything kishapangwa..
 
ujenzi unaanza mwaka ujao...everything kishapangwa..
Mwaka wa 10 huu mnasogoa!
 
Update: The over 3.2km Kigongo-Busisi bridge


Tony254 hapa tunawapiga ngapi?


Hao wazarendo waambieni waache kusifia jpm hadi kero. Inatosha kusema tu mara moja sio kila mara utazani ndo mara ya kwanza kumsikia. Waache tabia ya kike kusifia sifia
 
Hao wazarendo waambieni waache kusifia jpm hadi kero. Inatosha kusema tu mara moja sio kila mara utazani ndo mara ya kwanza kumsikia. Waache tabia ya kike kusifia sifia
Uhuru wa kujieleza babu hapo kwa jirani hata kumtaja Rais wao wanapatwa na aibu!
 
Uhuru wa kujieleza babu hapo kwa jirani hata kumtaja Rais wao wanapatwa na aibu!

Geza ni kweli ni vizuri kumtaja JPM lakini isiwe kutaja kwa kero. Kumbuka jpm yeye ni msimamizi tu. Lakini hela tunatoa watanzania kupitia kodi.
 
Back
Top Bottom