Em acha kufananisha elon musk na vitu vya kijinga ww. Unless u dont know who is elon muskMondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
Wawe makini sana content yao isifanane na Block 89. Maana kama watachokifanya sasa kitafanana na block 89 basi hakutakua na haja ya kusikiliza Block 89 tena maana wasanii wote wa kizazi kipya wanahojiwa The switch sasa block 89 iko kwa ajili ya nani.
Jamaa kwel ana kipaj ila kwa hapa alpofikia nkajua ameaxhana na Times kapata ata deal la radio kubwa za nje coz ya influence ata ya zile tuzo angeenda kama trace,,soundcity au ata majerlazer radio kumbe ni utumbo wa ulimbuken kafany kuamia ile media ya kupelekwa pelekwa na Anayejiita Chibu wakat Chibu asil is alive......
Mmmmmh napiga mihayo........
Aaaaaaahaaaaaah
Aya naendlea.. Kutoka times na kwend wasaf ni kama umehama kwwny kwnye rod ya kokoto ukaenda ywnye changarawe Depends on his level now ningetarajia kumuona vituo vikubwa sana ya nje..
Kingne boss wa Times alishindwa kutumia ukubw wa tuzo ya Tambwe kuiexpand na kuibrand times sijui anaembea na akili za mkopo badal yake kushindwa kuidefence kamwachia dida na kale kajamaa cha mipasho but anyways mpira pasi alipoondoka tambwe kuna mtu atapata nafas...
Half Writter Full IQ
NB: Solo Thang x Profesa x Afande Sele =
Umeitendea hakhi hyo picha ktk ID yako,Sasa kama mshahara wa wasafi unazidi wa hizo station kwanini asiende wasafi?.
HAPA UNA MLAUMU BURE..
usifikiri kikeke analipwa milioni 100 kwa mwezi.
Ndo maana Charles hillary alivyotoka BBC.
Kaenda kujishikiza azam .
Kungekuwa kuna hela huko unaposema.
mzee hillary angepumzika ale mafao yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama mshahara wa wasafi unazidi wa hizo station kwanini asiende wasafi?.
HAPA UNA MLAUMU BURE..
usifikiri kikeke analipwa milioni 100 kwa mwezi.
Ndo maana Charles hillary alivyotoka BBC.
Kaenda kujishikiza azam .
Kungekuwa kuna hela huko unaposema.
mzee hillary angepumzika ale mafao yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini?
ww Unakuaje kama vile sio wa Koromije?.. Unajua maana ya X kwenye collaboration ya nyimbo za wasanii? Kaulize upya usidandie nyuma kwa mbele😀😀
Wasafi bado wanajitengeneza hawajaanza kuja mtaani, siku wakianza utasikia fujo zao kama ilivyokuwa kwa EFMKama hivyo ndivyo ilivyo Basi kila kipindi kitaanza kwa Moto halafu kitafulia Kama ilivyotokea kwa hiyo Block, kila kipindi cha magazeti cha kitenge na zembwela.... Ishu sio kuwa na watangazaji wenye majina swali Ni je wanaweza ku connect na wenzao?
Mondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
Nani amsikilize mtangazaji mwenye kigugumizi bwana, anaboa tu japo nafahamu uwezo wake wa kucheza mpira na mchango wake kwenye sanaaMomo yupo vizuri uwezi kumfananisha na mtu imara ni kumkosea heshima
Upande wa media wasafi bado Sana kiukweli, bado wanatembelea kivuli cha Clouds... Tokea EFM inaanza ilionyesha utofauti Sana na media nyingine na hiyo ndio imeipa nguvu Hadi Sasa... Wasafi haina pumzi bado haijajua itoke vipi inashindwa kufikiri zaidi ya upeo wa ClousWasafi bado wanajitengeneza hawajaanza kuja mtaani, siku wakianza utasikia fujo zao kama ilivyokuwa kwa EFM
Mzee hakuna media inashindana na media nyenzake alafu kufananisha hata kwa uchache Clouds na Wasafi ni kosa kubwa.Upande wa media wasafi bado Sana kiukweli, bado wanatembelea kivuli cha Clouds... Tokea EFM inaanza ilionyesha utofauti Sana na media nyingine na hiyo ndio imeipa nguvu Hadi Sasa... Wasafi haina pumzi bado haijajua itoke vipi inashindwa kufikiri zaidi ya upeo wa Clous
Momo anaeleweka vizuri pamoja na kigugumizi chakeNani amsikilize mtangazaji mwenye kigugumizi bwana, anaboa tu japo nafahamu uwezo wake wa kucheza mpira na mchango wake kwenye sanaa
Mzee hakuna media inashindana na media nyenzake alafu kufananisha hata kwa uchache Clouds na Wasafi ni kosa kubwa.
Wasafi inapatikana pwani tu, Clouds iko all over the country ina umri wa kijana ambaye anatia mimba kabisa, ina watu walioko kwenye hiyo tasnia miaka dahari.
Alafu vipindi huwa vinaigwa tu hakuna jipya, hiyo singeli unayoisikia EFM miaka ya nyuma ilikuwa ndio mambo ya Times fm jiulize kwanini waliacha.
Kuna radio marekani zinasikika mji mmoja mmoja vipindi vyake ni vilevile and nobody is complaining kila mtu anatafuta listeners kivyake
pole ,chuki uangamiza anae hiifadhi, acha chuki na kutuaminisha ujinga wako
Unawashushia heshima uliowatajaMondi sio mtu mzuri kabisa, Mondi ana ubongo wa Steve Jobs,Elon Musk, Mandela , MLK na Jayz ukiwajumlisha.
Uzi kamili unakuja
Upande wa media wasafi bado Sana kiukweli, bado wanatembelea kivuli cha Clouds... Tokea EFM inaanza ilionyesha utofauti Sana na media nyingine na hiyo ndio imeipa nguvu Hadi Sasa... Wasafi haina pumzi bado haijajua itoke vipi inashindwa kufikiri zaidi ya upeo wa Clous
Momo mbona yuko powa.Hata kigugumizi chache sio kikubwa na ana sauti Unique.Mbona kuna watu wanawapenda wale wa Efm wenye masauti ya kukwaruza wale wanaoendesha kipindi cha singeli nadhani ni Fido na mwenzie.Nani amsikilize mtangazaji mwenye kigugumizi bwana, anaboa tu japo nafahamu uwezo wake wa kucheza mpira na mchango wake kwenye sanaa
Mashabiki wa clouds na mashabiki wa wasafi ndio wanaofanya mlinganisho.Kwa kweli wanaosababisha mlinganisho ni mashabiki wa Wasafi kutaka kuuaminisha umma kuwa Wasafi wamekuja kuizima Clouds...