Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,261
- 3,580
😂😂😂😂kweli Kuna watu na viatu.Halafu kafupiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂kweli Kuna watu na viatu.Halafu kafupiiiiii
acha chuki we mwanamke [emoji3][emoji3][emoji3]Halafu kafupiiiiii
Ningeshangaa Kama Jane Lowassa asingepigilia msumari wa moto kwenye huu uzi[emoji1787][emoji1787]Halafu kafupiiiiii
you are rightMbona anatupia vzr tu sem a mkuu naona humpendi tu...na yuko vizuri kichwani anahoji fact anajua historia na vitu vya anayemuhoji kifupi jamaa ni full.package hachoshi.
Katika watangazaj wa yoo yooo walio grade ya mwisho tz ni uyu jamaa.kuna kpnd alitetea tuzo ya mtangazaj bora africa nikajua apa ndio katusua i mean ataenda radio kubwa kutokana na hyo cv kubwa aliyomake mxiuuu kumbe ni utumbo tu Yaan ni sawa na kama mcbezaji kutoka Namungo kwend Coastal Au Kmc then unajipongeza umefany move nzuri...Omari tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Sina
Mkuu na ukweli usemwe!
Ila anacho michekesha ni uvaaji wake kama mbwiga fulani na anapenda marangi marangi sana,,,
Ndizo zinazo mfanya awe yeye kama yeye.Msela anavaaga masweta fulani hivi basi anaona kashamaliza mambo
Watoto wa tabora tunampata kitambo sana bishooLili ommy na masweta yake afu anageuza kofia yake kinamna fulani hivi swaga za tabora hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu na ukweli usemwe!
Ila anacho michekesha ni uvaaji wake kama mbwiga fulani na anapenda marangi marangi sana,,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolHalafu kafupiiiiii