JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
1. Diddy - $130 million
2. Drake - $94 million
3. JAY Z - $42 million
4. Dr. Dre - $34.5 million
5. Chance the Rapper - $33 million
6. Kendrick Lamar - $30 million
7. Wiz Khalifa - $28 million
8. Pitbull - $27 million
9. DJ Khaled - $24 million
10. Future - $23 million
11. Kanye West - $22 million
12. Birdman - $20 million
13. J. Cole - $19 million
14. Swizz Beatz - $17 million
15. Snoop Dogg - $16.5 million
16. Nicki Minaj - $16 million
17. Lil Wayne - $15.5 million
18. Macklemore & Ryan Lewis - $11.5 million (tie)
19. Rick Ross - $11.5 million (tie)
20. Lil Yachty - $11 million
Lil yatchy ni msanii mwenye miaka 19 ndani ya mwaka moja kaingiza dola $11m ambazo ni takribani shillingi ( 24,692,800,000)Billioni 24 na millioni 692 na laki 8.
Kwenye orodha ya wasanii wa hiphop waliongiza pesa nyingi mwaka huu ni wa 20.
Kwa billioni 24 lil yatchy ametengeneza pesa nyingi kwa mwaka huu kuliko wasanii wote wa musiki wa bongo fleva, gospel, dansi, asili, wanasoka, riadha, kikapu, TOT, WCB, Ali Kiba na wengineo wakiunganisha vipato vyao vya mwaka huu hawafiki hata nusu ya billioni 24.. Kama sikosei hawazidi hata shillingi billioni mbili au tatu.
Hii ni kuonesha kwamba uchumi wa sanaa bongo bado uko chini sana na kuna kazi kubwa sana ya kufanya kuukuza.
2. Drake - $94 million
3. JAY Z - $42 million
4. Dr. Dre - $34.5 million
5. Chance the Rapper - $33 million
6. Kendrick Lamar - $30 million
7. Wiz Khalifa - $28 million
8. Pitbull - $27 million
9. DJ Khaled - $24 million
10. Future - $23 million
11. Kanye West - $22 million
12. Birdman - $20 million
13. J. Cole - $19 million
14. Swizz Beatz - $17 million
15. Snoop Dogg - $16.5 million
16. Nicki Minaj - $16 million
17. Lil Wayne - $15.5 million
18. Macklemore & Ryan Lewis - $11.5 million (tie)
19. Rick Ross - $11.5 million (tie)
20. Lil Yachty - $11 million
Lil yatchy ni msanii mwenye miaka 19 ndani ya mwaka moja kaingiza dola $11m ambazo ni takribani shillingi ( 24,692,800,000)Billioni 24 na millioni 692 na laki 8.
Kwenye orodha ya wasanii wa hiphop waliongiza pesa nyingi mwaka huu ni wa 20.
Kwa billioni 24 lil yatchy ametengeneza pesa nyingi kwa mwaka huu kuliko wasanii wote wa musiki wa bongo fleva, gospel, dansi, asili, wanasoka, riadha, kikapu, TOT, WCB, Ali Kiba na wengineo wakiunganisha vipato vyao vya mwaka huu hawafiki hata nusu ya billioni 24.. Kama sikosei hawazidi hata shillingi billioni mbili au tatu.
Hii ni kuonesha kwamba uchumi wa sanaa bongo bado uko chini sana na kuna kazi kubwa sana ya kufanya kuukuza.