johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Kesi ya Mbowe itaamuliwa mahakamani kwa mujibu wa sheria.Tuna imani na Samia, hali mradi yule shetani yupo kuzimu, tumpe ushirikiano mama.
Dosari yake kwangu ni kuingizwa mkenge kesi ya Mbowe tu, lakini muda anao wa kurekebisha na DPP kamteuwa yeye.
Chuki binafsi!Sukuma gang masalia, mmeachwa wajane na yatima.
Nawapa ushauri wa bure mmpeane zamu ya kwenda kulinda kaburi la mungu wenu chato, mungu anayekufa, ajabu kwelikweli.
Hii ni zamu ya wakojani, wacha wale lakini hawatutesi wala kutujaza woga na hofu kama ulivyokuwa utawala wa ibilisi shetani wenu.
Watu kwa sasa tuna mambo mengi ya kufanya ili kujitafutia mkate wetu wa kila siku.Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hata wakianzisha mkoa mwingine wa mchambawima haina maajabu.Hakuna cha maana sana sana Chato Mkoa mpya.
Karibu bwashee!Watu kwa sasa tuna mambo mengi ya kufanya ili kujitafutia mkate wetu wa kila siku.
Hayo mambo ya kushinda kwenye tv kisa kumtazama mwana siasa hatuna.
Anachoweza kushukuru ni mapungufu ya katiba yetu.Umetimiza vigezo au ni shukurani kwa mwendazake kwa kuachia uraisi bila ubishi.......
Yaani huyu mama ametokea kuzaraulika Sana mitaaniHamna jipya toka kwakee
Labda amtumbue Gwajima wa kike
Ni wachache sana watakuelewa na kwa huyo mleta uzi ndiyo kabisa umemtupa pwani ya nungwi.Jambo linatoka kwenye BRAIN, nadhani unanielewa. Jambo lilitoka juzi kutoka kwenye kamati ya Nobel Prize, yenye BRAIN, jambo toka kwenye brain! BRAIN iko wapi ya kutoa jambo?
Jambo kubwa Ni umoja wa kitaifa na Amani, Akitoa amri wafungwa wote wa kisiasa na mashauri tata yafutwe pia aruhusu mchako wa Katiba mpya, Hilo litakuwa Jambo kubwa na muhimu kwa umoja na ustawi wa taifa letu.Hakuna cha maana sana sana Chato Mkoa mpya.
Hilo ndiyo waliobakia nalo maana naona kama maarifa ndiyo yamegonga kwenye ukuta.Jitu linaaamka asubuhi na ujinga kweye media za watu. Vitafutwa vyote , siku haiko mbali
Hahahaaaa.......!Ni wachache sana watakuelewa na kwa huyo mleta uzi ndiyo kabisa umemtupa pwani ya nungwi.
Aisee na wewe huna kazi yaani unawacha kufanya kazi zako unawafuatilia hao ?Mmetupa Wakati Mgumu Sana Yaani Tumetega Masikio Mpaka Yanauma, Tangazeni/Semeni Lolote Tu
Ivumayo Haidumu,
Msitutishe!!!
Ama Ndiyo Mtasema Dulla Kapigwa Jana Kwa Point Wakati Wote Tumeona Live. Tupumzisheni Kidogo
Tupate Japo Kumeza Mate Kidogo
Ama Mzigo Mpya Wa Johnson And Johnson Mpango Wa Covax Tunaongezwa Dose. Ama Issue Ya Sensa
Legacy of great JPM ....Umetimiza vigezo au ni shukurani kwa mwendazake kwa kuachia uraisi bila ubishi.......
Sisi wana mchambawima bado tunasubiria makubwaMama wa kambo hana jipya lolote, labda Msoga line ndio wanasubiri jipya toka kwake.
Mtapiga magoti hadi yaote malengelenge lkn hakuna cha teuzi.Bwashee yaonekana mbege ya jana ilikuwa ya kibukoba!