BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Polepole: CCM kuna majizi makubwa, kila nikitaka kuwataja wakubwa wananizuia! | Hao wakubwa ni nani zaidi ya M/kiti? Ukiwa CCM hukamatiki?
Katibu wa Itikadi Na Uenezi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole anasema mbele ya Kamera na vinasa sauti, Kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi kuna majizi Na anawajua ila Kila akiomba ruhusa awataje wakubwa ndani ya Chama wanamzuia. Najiuliza maswali 1.Hao wakubwa wanaomzuia Polepole asiwataje ni...
Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi