Lile kaburi limeshajengewa kwa heshima, halijazungukwa tena na mabati

Lile kaburi limeshajengewa kwa heshima, halijazungukwa tena na mabati

Ukiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.

Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Umepatia kama ninavyofiri hawa wengine wana tabia zao nao
 
Na ww kunya utuambie tabia zako mbaya hapa ambazo hata nafsi yako inakusuta
 
Ukiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.

Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.

Hizi kufuru zingine ni kama zimepitiliza sasa. Mkuu wewe una hicho kipimo cha upendo na ulifanikiwa kumpima mwendazake kiwango chake cha upendo kabla hajaumaliza mwendo ndiyo ukapata hayo matokeo?
 
Ndio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.
Yule ndio kiongozi halisi wa Tanzania vizazi na vizazi vitamkumbuka mwamba wa Tanzania
Yaani kwa akili yako ulitegemea pasijengwe wakati ni dili la watu? Uliza gharama hapo uone walivyonufaika
 
Tena mbwa wewe unaweza ukafa kifo kibaya sana..cheki hapo unajiona mjanja kisa upo hai unamcheka aliekufa kama vile wewe malaika na hutokufa...
Tena mbwa wewe ushike adabu yako magufuli alikuwa muuaji na kujiona ndiyo yeye tu alifunga watu bila ya makosa,kudhulumu watu wacha tu afe na tena kungekuwa na kurudia basi ni bora ingerudiwa .

Nitakufa lakni sio muuaji na wala hakuna mtu aliyenunungunikia kwa chochote.


Wewe unaeshabikia utakufa kifo chá mbwa huku unabweka bweeeee.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Taahi.ra mkubwa wewe, wapumliwa visogoni nyie ndo mwajiita mamilioni ya watanzania enh? aliwatuma muuze ngada? aliwazuia kusoma mpate vyeti halali? dawa yenu iko jikoni.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Marehemu Ben Saanane alikuwa na vyeti feki? Kwanini aliuawa na huyo "yesu" wenu?
 
Nilifurahi sana anko magu alivowaua mbwa nyie,aliwaua kama kuku sababu hamna maana katika nchi yetu hii..huyo sana nane alistahili kuuliwa kama nguruwe...nyie ndio wezi na madhalimu wakubwa katika nchi hii..
Hihihiii, basi utuache tusherehekee na kujipongeza kwa kifo cha MFITINI WETU nasisi.
 
Ila serikali ina siri. Yaani wamejenga kimya kimya bila hata kunishirikisha!!!!
 
 
 
Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi
 

Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi
 
Ipo siku nitalitembelea kaburi la Magufuli nikatoe heshima zangu nilimpenda shujaa wetu na mtetezi wetu
 
Back
Top Bottom