The fools fool fools. He was really good at fooling them eti wazalendo, for who and for what?Legend for FOOLS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The fools fool fools. He was really good at fooling them eti wazalendo, for who and for what?Legend for FOOLS.
Umepatia kama ninavyofiri hawa wengine wana tabia zao naoUkiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.
Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Ukiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.
Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Yaani kwa akili yako ulitegemea pasijengwe wakati ni dili la watu? Uliza gharama hapo uone walivyonufaikaNdio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.
Yule ndio kiongozi halisi wa Tanzania vizazi na vizazi vitamkumbuka mwamba wa Tanzania
Tena mbwa wewe ushike adabu yako magufuli alikuwa muuaji na kujiona ndiyo yeye tu alifunga watu bila ya makosa,kudhulumu watu wacha tu afe na tena kungekuwa na kurudia basi ni bora ingerudiwa .Tena mbwa wewe unaweza ukafa kifo kibaya sana..cheki hapo unajiona mjanja kisa upo hai unamcheka aliekufa kama vile wewe malaika na hutokufa...
Sure!I did not say you did. Looks like you need to improve your Queen's language.
daaaa aiseee this is JFFunza wamepata kivuli
Marehemu Ben Saanane alikuwa na vyeti feki? Kwanini aliuawa na huyo "yesu" wenu?Taahi.ra mkubwa wewe, wapumliwa visogoni nyie ndo mwajiita mamilioni ya watanzania enh? aliwatuma muuze ngada? aliwazuia kusoma mpate vyeti halali? dawa yenu iko jikoni.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hihihiii, basi utuache tusherehekee na kujipongeza kwa kifo cha MFITINI WETU nasisi.Nilifurahi sana anko magu alivowaua mbwa nyie,aliwaua kama kuku sababu hamna maana katika nchi yetu hii..huyo sana nane alistahili kuuliwa kama nguruwe...nyie ndio wezi na madhalimu wakubwa katika nchi hii..
ShenziWatanzania tunampenda sana Mama Samia kwa kufanya hii kazi ya kujengea Kaburi la Dkt Magufuli. Mungu ampe maisha marefu.
Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidiDuh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi