Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi
Ni kweli aliharibu maisha ya mafisadi, wala rushwa, vyeti feki, wapiga madili na wadhulumaji, wezi, magaidi
Vyeti feki mtapambana na maiti haiwasaidiiSiwezi kulipenda jitu katili, lenye roho mbaya na mjivuni.
Hiyo pia ni haki yangu huwezi kunipangia.
Hata wewe utakufa ndugu na ole wako unamhukumu mwenzio kama wewe msafiAlivyokuwa muuaji alijiona dunia ni yake hatakufa.
Mungu fundi sana asante Mungu kwa kumuondoa huyo muuaji maana alijiona hakuna wa kumgusa kwasababu ya mabunduki lkn walishindwa na akafa.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Mungu ahukumu watu kwa kusikiliza majungu na chuki zenu siku ikifika tutaondoka kila mtu kwa muda wake hata wewe utakufa siku moja uishi milele ndio utasema Mungu fundiAlivyokuwa muuaji alijiona dunia ni yake hatakufa.
Mungu fundi sana asante Mungu kwa kumuondoa huyo muuaji maana alijiona hakuna wa kumgusa kwasababu ya mabunduki lkn walishindwa na akafa.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Mchange mumlipie mwenzenu(musiba) fidia anayodaiwa na MembeVyeti feki mtapambana na maiti haiwasaidii
Alikuchukulia mkeo??.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Sasa hivi hadi Godbless lema anammisi magufuli,😂😂hizi siasa hiziUkiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.
Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Najua nitakufa na nitakwenda kuhukumiwa.Mungu ahukumu watu kwa kusikiliza majungu na chuki zenu siku ikifika tutaondoka kila mtu kwa muda wake hata wewe utakufa siku moja uishi milele ndio utasema Mungu fundi
Nitakufa na sijamuhukumu na hukumu atakwemda kuikuta huko ashakotangulia saivi mnakuwa wapole kwasbabu anasemwa lkni alipokuwa anafanya ukatili wake mnakuwa hamchukii wala kukemea, mwisho wake mkifurahia.Hata wewe utakufa ndugu na ole wako unamhukumu mwenzio kama wewe msafi
Peleka upumbavu wako lumumba. Nimekwambia nina kiu ya maji!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Yeye haaakujua kama atakufa alijiona ni kila kitu katika nchi ya tanznia alijiamaulia nani afe na nani nimuumize kwahiyo naende tu huko akaomgoze hao malaika aliosema. Maana mpaka kukufukuru alikufuru.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Sasa hujioni unavyopaparika na maiti kama umekabwa