kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 735
Wana bodi,
Miaka miwili kama sio mitatu iliyopita tulizoea kusikia watu wakijiita.. Rais wa kawe, rais wa mbagala, manzese, kiwalani, salasala, mara rais wa wasafi, rais wa kimara temboni, nakadharika.
Hiyo ilipekea hata mimi kidogo nitake kurudi kwetu nikajiite rais wa kalenga na maeneo yake kama vile kiponzelo, tosamaganga, ipamba, mangalali, nzihi, magubike, kidamali na nyamihuu.
Ila kwa kipindi hiki kumekuwa na ukimya uliotawala juu ya hawa ma rais wengi waliotamalaki kipindi kilichopita, sasa sababu ya ukimya wao ni nn?
Kwa sasa naona rais mwingine ukiacha rais wa nchi ni rais wa TFF pekee anayesikika akitajwa kwa cheo hicho cha urais....
Jamani, naombeni kujua walikoenda hawa marais wetu hata kama ni ziara za nje ya nchi mbona ni mda mrefu sana?
=======================
Nimeagiza lita mbili za ULANZI hapa huku nikisubiri majibu kutoka kwenu wanajukwaa....
=========================
kALEnga kidamali
Miaka miwili kama sio mitatu iliyopita tulizoea kusikia watu wakijiita.. Rais wa kawe, rais wa mbagala, manzese, kiwalani, salasala, mara rais wa wasafi, rais wa kimara temboni, nakadharika.
Hiyo ilipekea hata mimi kidogo nitake kurudi kwetu nikajiite rais wa kalenga na maeneo yake kama vile kiponzelo, tosamaganga, ipamba, mangalali, nzihi, magubike, kidamali na nyamihuu.
Ila kwa kipindi hiki kumekuwa na ukimya uliotawala juu ya hawa ma rais wengi waliotamalaki kipindi kilichopita, sasa sababu ya ukimya wao ni nn?
Kwa sasa naona rais mwingine ukiacha rais wa nchi ni rais wa TFF pekee anayesikika akitajwa kwa cheo hicho cha urais....
Jamani, naombeni kujua walikoenda hawa marais wetu hata kama ni ziara za nje ya nchi mbona ni mda mrefu sana?
=======================
Nimeagiza lita mbili za ULANZI hapa huku nikisubiri majibu kutoka kwenu wanajukwaa....
=========================
kALEnga kidamali