Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Nina uhakika wewe na ukoo wenu mzima hamnifikii kwa uwezo mkubwa wa kiakiliUna akili ndogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uhakika wewe na ukoo wenu mzima hamnifikii kwa uwezo mkubwa wa kiakiliUna akili ndogo sana.
Jifunze kujitegemea.... Mambo ya Bandari huyajui na hutokaa uyajue.... We piga debe tuPolee sana. Najua ukweli unauma. Vumilia tu
Hongera sana mkuu kwa kuujua ukweli.It is easy to fool people than to convince them that they have been fooled.
Lord denning mimi nimekuelewa ila ni kazi kubwa kwa aliyekaririshwa kukuelewa.
Poker ushauri wangu. Najua unaumia ila vumilia tu. Ndo kazi ya ukweli hiyo.Jifunze kujitegemea.... Mambo ya Bandari huyajui na hutokaa uyajue.... We piga debe tu
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.
Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.
Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.
Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika
Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.
Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.
Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.
Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.
Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.
Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.
Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tlya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.
Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.
Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.
Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.
Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Tangu lini Lord Denning nikawa huyo mtu? Umeanza kufuatilia JF lini?Lukasi mwashamba punguza uchawa basi
Wanajua nini? Wametoa hoja gani?Shida yenu nyie vijana ni moja Tu
Hamjibu hoja, hamjibu maswali it's like mnatetea mambo ambayo hamjui au hamna details za kutosha
Hao ambao wanapiga makelele ukiwasikiliza inaonesha wanajua wanachokisema kuliko nyie mnao tea
Me ningekuelewa kama ungekuja na majibu ya hoja zao
Wanajua nini? Wametoa hoja gani?
Hujaona kuondolewa kwa muswada wa serikali kuhusu rasilimali uliotaka kurekebisha sheria ili DP World apewe bandari? Hujaona tenda ya baadhi ya gati sasa zinatangazwa hadharani? Unafikiri hayo yangefanyika? Akili itawakaa tu sawaBada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.
Kama hawapingi uwekezaji TEC wangesema bandari tuendeshe sisi wenyewe wakati wanajua mitanzania ndo tunaifirisi bandari yetu?Kinachopingwa siyo Uwekezaji, kinachopingwa ni mkataba wa uwekezaji!
Kaa kwa kutulia. Mambo makubwa haya tuachie wakubwa. mungu wenu kashadedi....Poker ushauri wangu. Najua unaumia ila vumilia tu. Ndo kazi ya ukweli hiyo.
Kwa akili yako uwekezaji wa bandarini unahusiana kivipi na masuala ya maliasilia?Hujaona kuondolewa kwa muswada wa serikali kuhusu rasilimali uliotaka kurekebisha sheria ili DP World apewe bandari? Hujaona tenda ya baadhi ya gati sasa zinatangazwa hadharani? Unafikiri hayo yangefanyika? Akili itawakaa tu sawa