Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

It is easy to fool people than to convince them that they have been fooled.

Lord denning mimi nimekuelewa ila ni kazi kubwa kwa aliyekaririshwa kukuelewa.
Hongera sana mkuu kwa kuujua ukweli.

Siku zote mimi Lord Denning nimekuwa mtu wa kutoa facts humu JF na hii ndo heshima yangu.

Kamwe Lord Denning sio mtu wa siasa za matijaka na hovyo hovyo
 
Jifunze kujitegemea.... Mambo ya Bandari huyajui na hutokaa uyajue.... We piga debe tu
Poker ushauri wangu. Najua unaumia ila vumilia tu. Ndo kazi ya ukweli hiyo.
 
15 “Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao
 


Shida yenu nyie vijana ni moja Tu

Hamjibu hoja, hamjibu maswali it's like mnatetea mambo ambayo hamjui au hamna details za kutosha

Hao ambao wanapiga makelele ukiwasikiliza inaonesha wanajua wanachokisema kuliko nyie mnao tea

Me ningekuelewa kama ungekuja na majibu ya hoja zao
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Wanajua nini? Wametoa hoja gani?
 
Manabii wa uongo wamejaa sana hapa nchini
 
Huu ushahidi wa upigaji ndiyo mtuonyeshe sasa ambao hatuna upande ama la mnawashtaki mahakamani kwa huo ushahidi mlio nao
 
Bada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.
Hujaona kuondolewa kwa muswada wa serikali kuhusu rasilimali uliotaka kurekebisha sheria ili DP World apewe bandari? Hujaona tenda ya baadhi ya gati sasa zinatangazwa hadharani? Unafikiri hayo yangefanyika? Akili itawakaa tu sawa
 
Kinachopingwa siyo Uwekezaji, kinachopingwa ni mkataba wa uwekezaji!
Kama hawapingi uwekezaji TEC wangesema bandari tuendeshe sisi wenyewe wakati wanajua mitanzania ndo tunaifirisi bandari yetu?
 
Naomba kupata CV yako,Ili tuilinganishe na viongozi wa TEC! Ahsante

Badala ya kujibu hoja, unabwabwaja, Kama chama cha mawakili Tanganyika (TLS) ,wamesena mkataba mbovu, wewe ni nani unayeukubali.
 
Hujaona kuondolewa kwa muswada wa serikali kuhusu rasilimali uliotaka kurekebisha sheria ili DP World apewe bandari? Hujaona tenda ya baadhi ya gati sasa zinatangazwa hadharani? Unafikiri hayo yangefanyika? Akili itawakaa tu sawa
Kwa akili yako uwekezaji wa bandarini unahusiana kivipi na masuala ya maliasilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…