Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU KWANI NIMEANDIKA UONGO AU UPENDI KUSIKIA TUU UKWELI? KWANI MAMA KUSAGA NA DIAMOND NANI ANA HISA NYINGI HAPO?Sijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa Wasafi Fm ni ya Kusaga, kitu ambacho umekuwa ukikifanya katika kila nyuzi unayoanzisha. Hata hivyo amini usiamini, Wasafi media inakuwa kwa haraka kupitia mgongo wa brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake, hela alizoweka pale mke wa Kusaga si chochote bila brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake.
Hawatak kukubali ukweli....waweke ushabiki pemben.Wasafi ni ya Kusaga.MKUU KWANI NIMEANDIKA UONGO AU UPENDI KUSIKIA TUU UKWELI? KWANI MAMA KUSAGA NA DIAMOND NANI ANA HISA NYINGI HAPO?
Mkuu JK Sio Miongoni Wa Wamiliki au Wenye Hisa Kwenye Kampuni Ya Wasafi Media Bali wamiliki/Wenye Hisa NiKIJANA JIFUNZE KUSOMA NA KUTAFUTA HABARI SIO KILA SIKU ULETEWE
Sasa Kwa hisa Hizi za 45% Diamond ana nguvu hizi:MKUU KWANI NIMEANDIKA UONGO AU UPENDI KUSIKIA TUU UKWELI? KWANI MAMA KUSAGA NA DIAMOND NANI ANA HISA NYINGI HAPO?
Angaliamkuu punguza munkari hiyo ni ya kusaga amempa hela mkewe aanzishe biashara... kunywa maji yenye uvugu vugu kupunguza hasira
Jamaa kiazi kweli , taarifa haina source , lengo ni kuonyesha kuwa Wasafi ni ya kusaga 😀😀 Diamond anawanyampisha Sana watz ...Weka basi source ya habari yako...Tambwe hawezi ongea huo ujinga
Nb..nafkr lengo lako ni kusema wasafi ya kusaga tu.
Mshamba flani hivii wa Kalihua TaboraMwambie huyo ommy apunguze swaga zake za kimbwiga za Umerakani mwingi..too much "yuno wara mini"
Mkuu JK Sio Miongoni Wa Wamiliki au Wenye Hisa Kwenye Kampuni Ya Wasafi Media Bali wamiliki/Wenye Hisa Ni
1. Juhayna Zaghalulu Ajmy ana 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) ana 43%
3. Ali Khatib Dai ana 2.%
Hizi shades za magasho.
Kwa Hyo Mke Wa Kusaga ambae Ni Juhayna Zaghalulu Ajmy Ndio pia anaitwa Kusaga hauoni kama Hawa Ni Watu Wawili Tofauti MkuuSasa unabisha nini? Huyo wa kwanza ni mke wa Kusaga au napo unataka kubisha?
Mke wa Kusaga anamiliki hisa kama 40%Duh kwani wasafi fm ni ya kusaga au Diamond?
Hao wanatengeneza mabifu kijingajinga ili wavute mashabiki kwenye majukwaa yao tu
Kama Hauna Uhakika na Jambo Usiwe unajiandikia Tu Wakwetu, Soma Hapo Huyo Mama Ana 53%, Nasibu ana 45% na Jamaa mwingine ana 2%Mke wa Kusaga anamiliki hisa kama 40%
Mkuu pole sana huyo wa kwanza hapo ndio kusaga na kachukua hela kule clouds media na kaanzisha biashara nyingine ambayo ni wasfi media... pole sana kwa kuleta taarifa bila kuilewa... kunywa maji ya uvugu vuguMkuu JK Sio Miongoni Wa Wamiliki au Wenye Hisa Kwenye Kampuni Ya Wasafi Media Bali wamiliki/Wenye Hisa Ni
1. Juhayna Zaghalulu Ajmy ana 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) ana 43%
3. Ali Khatib Dai ana 2.%
Mke wa Kusaga ndiye mwenye share kubwa zaidi ya Diamond.Duh kwani wasafi fm ni ya kusaga au Diamond?
Hao wanatengeneza mabifu kijingajinga ili wavute mashabiki kwenye majukwaa yao tu
Ofcoz ni watu wawili tofauti Ila under the same roof. Hata mtaji na plans unakuta ni za wao wawili wanafanya hivyo ili kukamata frequency za broadcast na biashara pia. So technically ni watu wawili tofauti Ila kumbuka mrithi wa mali ya mke ni mume wake na mrithi wa mali ya mine ni mke wake.Kwa Hyo Mke Wa Kusaga ambae Ni Juhayna Zaghalulu Ajmy Ndio pia anaitwa Kusaga hauoni kama Hawa Ni Watu Wawili Tofauti Mkuu