Kusaga ni janja janja sana. kahodhi frequency nzuri nzuri kibao za hapa Dar.Ofcoz ni watu wawili tofauti Ila under the same roof. Hata mtaji na plans unakuta ni za wao wawili wanafanya hivyo ili kukamata frequency za broadcast na biashara pia.
Upo sahihi, classic FM ilikuwaga poa haina maongezi unakula ngoma za mbele tu. Jamaa amekamata frequency za mwanzo sababu magari mengi yalikuwa na radio ambazo hazivuki 90 na wasikilizaji wengi kwa mji wa Dar ndio wapo kwenye mishemishe.Kusaga ni janja janja sana. kahodhi frequency nzuri nzuri kibao za hapa Dar.
Hata 88.5 inayotumiwa na Wasafi Dar ilikuwa ya kwake wakati huo kulikuwa na kiredio uchwara kinapiga muziki tupu kinaitwa Classic fm. Vile vile ilikuwa inasikika BBC World service.
Amehodhi frequency kupitia viredio utasijia City fm, Classic fm, Coconut fm mara The Beat fm.
Yaani hata Azam walipewa 143... frequency zote za 88 na 99 zimeisha.
Biashara ya media ni ngumu sana. Angekuwa Diamond mwenyewe asingemaliza hata miaka 2.Upo sahihi, classic FM ilikuwaga poa haina maongezi unakula ngoma za mbele tu. Jamaa amekamata frequency za mwanzo sababu magari mengi yalikuwa na radio ambazo hazivuki 90 na wasikilizaji wengi kwa mji wa Dar ndio wapo kwenye mishemishe.
Hata za baadhi ya majiji mengine amezikamata anachofanya ni kuweka mtu kama director then yeye anakuwa na separate agreement na huyo mtu sasa kwa hii ya wasafi it was easy sababu aliweka mkewe.
As a businessman amefanya sahihi tu kwanza kumpatia shares mama watoto sio mbaya lakini kumbuka kuonekana wewe ni director na zile shares haimaanishi una maamuzi kwenye management.
Inaweza kuwa ni nominal shares ambazo kama diamond zile ni just nominal shares haimaanishi yeye ana maamuzi kwenye board sanasana ataziearn pale atakapotumbukiza mchuzi otherwise atabakia kwenye makaratasi tu.
Corporate management wengi hawafahamu, wakiona Ile sijui asilimia arobaini na sita wanajua diamond ndio boss sana, well ni kweli no mmoja ya promoters Ila ana nominal shares mwenyewe mwenyewe hela aliyetoa na kufacilitate kila kitu yupo aisee.
Moyo unapata faraja sana pale unapo imagine kuwa mondi hana chochote pale wasafi[emoji23]...sikupingi kwa kujifariji kwako maana ndio njia pekee kwako yakupata relief [emoji23].
Mtangazi wa Wasafi FM kituo kinacho milikiwa na Joseph Kusaga amefunguka wazi yeye awezi kamwe kumtafuta msanii yeyote yule amfanyie interview hasa Nandy.
Mtangazi Lily Ommy amesema wazi kabisa kuwa amekuwa akimuona Nandy ana landa landa tuu mtaani kamwe awezi kumtafuta amfanyie interview labda Nandy au meneja wake wamtafute yeye.
Mtangazaji Lily Ommy aliyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano na moja ya TV za mitandaoni ambao walitaka kujua maoni yake kuhusu muziki wa Nandy na kwanini hajawahi kufanyiwa interview Wasafi FM.
Mtangazaji huyo mwenye swaga za kimarekani alionekana kukerwa sana na swali hilo kuhusu Nandy na Mziki wake.
Ikumbukwe kwamba Msanii Nandy alikuwa mkubwa kabla hata ya Kusaga kupanga kuanzisha kituo cha Wasafi FM. Pia, kwa sasa Nandy anafanya show yake ya Nandy Festival akizunguka mikoa tofauti Tanzania.
Ni hayo tuu
Moyo unapata faraja sana pale unapo imagine kuwa mondi hana chochote pale wasafi[emoji23]...sikupingi kwa kujifariji kwako maana ndio njia pekee kwako yakupata relief [emoji23].
Kutoelewa tu.Moyo unapata faraja sana pale unapo imagine kuwa mondi hana chochote pale wasafi[emoji23]...sikupingi kwa kujifariji kwako maana ndio njia pekee kwako yakupata relief [emoji23].
hivi ashapewa crown na yeye au ?Tambwe ameshapata jeuri naona.
Zungumzia content achana na iyo sentensi maana kila mtu ana ukweli wake anaoujuaRoho mbaya tu hizo mkuu wasafi radio ni ya D. Jamaa amekomaa Na Kusaga utafikiri amelipwa kuchafua Brand ya Domo
Mke wa kusaga ndio kusaga mwenyewe huyo mke ni kivuli chake tu........kuna watu wanajua kufukuzia fursa bana kupitia umaarufu wa mondiKwa Hyo Mke Wa Kusaga ambae Ni Juhayna Zaghalulu Ajmy Ndio pia anaitwa Kusaga hauoni kama Hawa Ni Watu Wawili Tofauti Mkuu
Hii janja janja ya kukamata freq muanzilishi marehemu aiseee mchaga yule balaa mno....Kusaga ni janja janja sana. kahodhi frequency nzuri nzuri kibao za hapa Dar.
Hata 88.5 inayotumiwa na Wasafi Dar ilikuwa ya kwake wakati huo kulikuwa na kiredio uchwara kinapiga muziki tupu kinaitwa Classic fm. Vile vile ilikuwa inasikika BBC World service.
Amehodhi frequency kupitia viredio utasikia City fm, Classic fm, Coconut fm mara The Beat fm.
Yaani hata Azam walipewa 143... frequency zote za 88 na 99 zimeisha.
Kwa maelezo haya basi Huu mji una wajanja wengi sana na wanamtumia sana mondi kutoboaUpo sahihi, classic FM ilikuwaga poa haina maongezi unakula ngoma za mbele tu. Jamaa amekamata frequency za mwanzo sababu magari mengi yalikuwa na radio ambazo hazivuki 90 na wasikilizaji wengi kwa mji wa Dar ndio wapo kwenye mishemishe.
Hata za baadhi ya majiji mengine amezikamata anachofanya ni kuweka mtu kama director then yeye anakuwa na separate agreement na huyo mtu sasa kwa hii ya wasafi it was easy sababu aliweka mkewe.
As a businessman amefanya sahihi tu kwanza kumpatia shares mama watoto sio mbaya lakini kumbuka kuonekana wewe ni director na zile shares haimaanishi una maamuzi kwenye management.
Inaweza kuwa ni nominal shares ambazo kama diamond zile ni just nominal shares haimaanishi yeye ana maamuzi kwenye board sanasana ataziearn pale atakapotumbukiza mchuzi otherwise atabakia kwenye makaratasi tu.
Corporate management wengi hawafahamu, wakiona Ile sijui asilimia arobaini na sita wanajua diamond ndio boss sana, well ni kweli no mmoja ya promoters Ila ana nominal shares mwenyewe mwenyewe hela aliyetoa na kufacilitate kila kitu yupo aisee.
Kama kuandika kiswahili shida Nenda ukalime! Awezi ni nini neno ni hawezi
Mtangazi wa Wasafi FM kituo kinacho milikiwa na Joseph Kusaga amefunguka wazi yeye awezi kamwe kumtafuta msanii yeyote yule amfanyie interview hasa Nandy.
Mtangazi Lily Ommy amesema wazi kabisa kuwa amekuwa akimuona Nandy ana landa landa tuu mtaani kamwe awezi kumtafuta amfanyie interview labda Nandy au meneja wake wamtafute yeye.
Mtangazaji Lily Ommy aliyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano na moja ya TV za mitandaoni ambao walitaka kujua maoni yake kuhusu muziki wa Nandy na kwanini hajawahi kufanyiwa interview Wasafi FM.
Mtangazaji huyo mwenye swaga za kimarekani alionekana kukerwa sana na swali hilo kuhusu Nandy na Mziki wake.
Ikumbukwe kwamba Msanii Nandy alikuwa mkubwa kabla hata ya Kusaga kupanga kuanzisha kituo cha Wasafi FM. Pia, kwa sasa Nandy anafanya show yake ya Nandy Festival akizunguka mikoa tofauti Tanzania.
Ni hayo tuu
Heee mosha kumbe alibwaga manyanga...Biashara ya media ni ngumu sana. Angekuwa Diamond mwenyewe asingemaliza hata miaka 2.
Kuna tycoons wameshika soko kikamilifu.
Davis Mosha alikuja na Africa Swahili mwishowe akaishia kuiuza kwa kina Sallam SK, siku hizi inaitwa Dizzim.
Msama naye DIRA TV sijui imefikia wapi.
Jamaa kwenye zile miwani anazingua sana,sijui hajistukii au ndio kutafuta identity yake na yeyeSwaga za kimarekani ndio nini? Au yale ma miwani ya rangi anayovaa.
Hahaha Wasukuma tenaOmmy ana swaga za Kimarekani au swaga za Kisukuma?!!
Hahahaha
Hapo kwenye "yuno wara mini" ππππMwambie huyo ommy apunguze swaga zake za kimbwiga za Umerakani mwingi..too much "yuno wara mini"
tena za welding anakaa fundi geti banaSwaga za kimarekani ndio nini? Au yale ma miwani ya rangi anayovaa.
Kulikuwa na Africa Swahili fm ambayo sasa ndio Dizzim fm ( hii kwasasa inasikika Morogoro ), na Africa Swahili TV ambayo ndio Dizzim TV.Heee mosha kumbe alibwaga manyanga...
Na hao dizzim bora walivyokimbilia moro maana hapa mjini pagumu mno kutoboa
Mm ndo maana nawapongeza clouds KwaSijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa Wasafi Fm ni ya Kusaga, kitu ambacho umekuwa ukikifanya katika kila nyuzi unayoanzisha. Hata hivyo amini usiamini, Wasafi media inakuwa kwa haraka kupitia mgongo wa brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake, hela alizoweka pale mke wa Kusaga si chochote bila brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake.